Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Wenyewe wanataka wapigaji kama kina Mwam anawaambie kondoo wajimalize kila kitu,kondoo wanaanza kuhaha jinsi ya? kufika chamanzi yeye anasepa na V8 lake.... Eti wanadai ile ni usafirishaji haramu hakika haaingii akilini
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ figisu tu anafanyiwa hakuna lolote hapo, wakimhukumu huyo mama basi wanatakiwa kuyahukumu makanisa yote ya wachumia tumbo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ figisu tu anafanyiwa hakuna lolote hapo, wakimhukumu huyo mama basi wanatakiwa kuyahukumu makanisa yote ya wachumia tumbo.
Na Mimi Niko na mawazo kama yako.. Zumaridi ni mpigaji kama wenzie sasa kwa Mimi yeye awe mbuzi wakafara??
 
Ila huu uzi ndo unaweza jua akili na fikra za wa TZ walio wengi,. Kwakweli tuna safari ndefu mno khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ figisu tu anafanyiwa hakuna lolote hapo, wakimhukumu huyo mama basi wanatakiwa kuyahukumu makanisa yote ya wachumia tumbo.
Kuna watu ndo wananielewa Leo kwamba Zuma anakosewa sana ....
 
Wazee wa PGO kazini! Wala haishangazi maana hawajaanza leo. Intelijensia labda iliwataka waruke ukuta kama ambavyo huwa inawaambia uharamu wa mikutano ya wapinzani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ figisu tu anafanyiwa hakuna lolote hapo, wakimhukumu huyo mama basi wanatakiwa kuyahukumu makanisa yote ya wachumia tumbo.
Nasikia wamemwambia upelelezi bado sasa walimkamata na kumpiga kwa kosa gani, kama hawajakamilisha
 
Nasikia wamemwambia upelelezi bado sasa walimkamata na kumpiga kwa kosa gani, kama hawajakamilisha
Hii nchi ni ya watu wa ovyo sana wanamtesa dada wa watu bila sababu, wamempiga kama jambazi, wachungaji na manabii wauongo wakiachwa wakiendelea kutapeli wananchi.
 
Ila huu uzi ndo unaweza jua akili na fikra za wa TZ walio wengi,. Kwakweli tuna safari ndefu mno khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwaambia hakuna kesi pale
 
Hii nchi ni ya watu wa ovyo sana wanamtesa dada wa watu bila sababu, wamempiga kama jambazi, wachungaji na manabii wauongo wakiachwa wakiendelea kutapeli wananchi.
Tulisema mapema hakuna cha maana ilikuwa kujisafisha baada ya kuruka ukuta kiharamia
 
Yule mama wamemuonea bure, Hakuna kesi pale. Mungu ni kamilifu wala hajahitaji msaada wa mwanadamu ampiganie. Hakuna kesi pale, alichofanya ndicho waganga wa kienyeji , mitume na manabii wa uongo ndicho wanavyofanya KILA siku. Kumkamata yeye pekee na kuacha kuwakamata waganga wa kienyeji ni uonevu na dabo standard.
Hakuna guts ya kesi pale Hakuna ushahidi dhidi ya tuhuma ya human trafficking pale hata tu kwa wakili bush lawyers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…