M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Ndio mafanikio ya awamu ya sita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mafanikio ya awamu ya sita.
HahahNdio mafanikio ya awamu ya sita.
Hawajakutwa na kesi ya kujibu wameachiwaNdio mafanikio ya awamu ya sita.
Hawajakutwa na kesi ya kujibu wameachiwa
Hakuna kesi hapo ile ni mbinu ya kumuachia kwa step kuficha aibu!Zumaridi bado yumo ndani, ana kesi zingine mbili moja hauna dhamana.
Kesi imeisha wameifuta!Hamna namna Serikali yetu inafanya mambo kienyeji
Sakata limefutwa na kaachiwaZumaridi bado yumo ndani, ana kesi zingine mbili moja hauna dhamana.
Ukweli unacheleweshwa tu alionewa sana huyu mama hata kama kuna jambo hakuenenda lakini alivyokamatwa walikoseaUkweli wa dhahiri
Anakashfuje Imani za watu?Nakubaliana nawe kwa maana ya ukiukwaji wa sheria ila mfalme wako anakashfu imani za watu wengine kitu ambacho kinaweza sababisha uvunjifu wa amani
Ajabu sana ndiyo maana ameachiwaAnakashfuje Imani za watu?
Mihemko tu watu husahau haki za msingi kwenye mamboKulikuwa hamna kesi ujinga tu wa polisi umeendelea kudhihirika wengine tulipinga namna ya ukamataji walioufanya na kumbambikiza kesi isiyo na maana mwisho wamesanda
Kwa hili watampa mileage sana huyu mungu wa kike na wafuasi wake
Ingekuwa ni Lissu ungeunga mkono hoja na kutiririka gazeti zimaZumaridi bado yumo ndani, ana kesi zingine mbili moja hauna dhamana.
Sasa unakwazikaje na mauno ya Zuma!Mtu anakata mauno lakini wafuasi hawastuki bado wanamfuata [emoji848][emoji848]
Yaani watanzania ni watu wa mihemko sanaIngekuwa ni Lissu ungeunga mkono hoja na kutiririka gazeti zima