Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Bro mbona unamuita mshkaji mpenzi au wewe ni team upinde?
Mambo mpenz💞
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mpenz💞
Mkuu dume kufanya kazi za ndani ni big NOYani wanaume wa kiafrika kwenye masuala kama haya ndio wanajifanya wameukubali usawa, waambie nao wafanye kazi za ndani uone hilo timbwili, au waambie kuwa wanawake nao wanahitaji kuwa na wanaume tofauti maana hawatosheki na mwanaume mmoja usikie hayo matusi
ni mdada huyo, huoni kasema anampenda hakimi..Bro mbona unamuita mshkaji mpenzi au wewe ni team upinde?
Huwez mtisha mwanaume wewe tulia wabinafsi wakubwa nyiehuyu jamaa anaona sifa sasa.. kitamkuta kitu maishani mwake bado kinda sana
Mbona wewe una wanaume sita hatukusemi hukuYani wanaume wa kiafrika kwenye masuala kama haya ndio wanajifanya wameukubali usawa, waambie nao wafanye kazi za ndani uone hilo timbwili, au waambie kuwa wanawake nao wanahitaji kuwa na wanaume tofauti maana hawatosheki na mwanaume mmoja usikie hayo matusi
Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadam mchungu, maumivu atayopata huyo mwanamke baada ya kugawana pasu Kwa pasu ndo angeyopata mumewe iwapo huyo Dem angeshinda kesi.huyu jamaa anaona sifa sasa.. kitamkuta kitu maishani mwake bado kinda sana
[emoji23][emoji23]mbwai mbwaikubababeki,Hackimi achukue mpaka mawigi atayauza tu asiwaze uyo kasuku abaki na komwe tu.
Kaka sijui kijana sijui babu vyovyote vile tafadhali sana tuheshimiane sijakutag popote pale.Acha upuuzi binti mdogo wewe, mimi sina muda wa kumtafutia sababu huyu dada enu, nipo zangu jf kutoa stress anakuja na matusi ya kishoga, huu ushoga na usagaji umewakaa akilini sana kiasi kwamba mnaona ni tusi linalomuuma kila mtu.
Na huyu rafiki yenu ameshatoaga ushuhuda humu kwamba anafanya usagaji, tukianza kuwafunga na wakimuendea chimbo mtamkuta central sababu yy mwenyewe alishatoa ushahidi humu.
Angetumia matusi ya kawaida angedhurika nn?
Ili iwe fundisho kwa wadada wote wenye tabia hiyoMtamuua dada wa watu aisee
Hadi sheria ya 50/50 ifanyiwe review upya[emoji23][emoji23][emoji23]Eeh! Imekuwa kukomoana sasa. Lol
Ila sasa watoto wao wawili watateseka sana na huu ugomvi.A. Hakimi ni mwenyekiti wetu mpya wa wanaume duniani
Unadhani hayo hajui. Kashafanya uchunguzi kablaHapo kavaa akili ya utoto.
Akumbuke kuna child support atakayotakiwa kumpa huyo mama na ni hatari kutengeneza mazingira ya chuki au uadui na mama wa watoto wako
Mdada siyo mzungu ni mwarabu pure nusu mlibya nusu Mtunisia. Alizaliwa Uhispania.Ndio ninachowaambia hapa, ukizingatia Mdada ni Mzungu afu yeye ni Muarabu kutoka Afrika,
Ataisoma namba kimya kimya
Nawa uso utoe tongo tongo kisha usome tena,Kwenye huu Uzi nafatilia violence ya Lagertha vs Dr. Mariposa nimechukua seat ya mbele kabisa [emoji16]
Utaifa wake ni Hispania, wazazi wake walienda huko kama Wakimbizi na wakamzalia hapo, kwa maana hiyo ni Mhispania by birth ila origin yake ni hizo nchi zingine.Mdada siyo mzungu ni mwarabu pure nusu mlibya nusu Mtunisia. Alizaliwa Uhispania.
Wewe umenena uzuri mkuuYeye amejali Child sapoort ndio maana amedai mali wagawane...Maana Hakimi kama Hakimi hana Mali yoyote sasa angetoa wapi hizo hela za Child supporrt?? So itabidi apewe nusu ya mali za mkewe halafu gharama atakazotakiwa kulipa child support zikokotolewe kutokana na hizo mali atakazogawiwa.