Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kwa mshahara alionao hiyo child support ni ndogo sana kuliko huo mgao wa pasu kwa pasu na mwanamke mtaka maliHapo kavaa akili ya utoto.
Akumbuke kuna child support atakayotakiwa kumpa huyo mama na ni hatari kutengeneza mazingira ya chuki au uadui na mama wa watoto wako
All women are DEVILS.Angeachana nae hawa wanawake wana roho mbaya japo sio ote
Hii taarifa ni ya uongo, Hakimi hajafungua hiyo kesi kwa hiyo save pumzi yako,Sheria ni msumeno hukata huku na huku.
Mali za mwanaume mnataka pasu kwa pasu ila za kwenu hamtaki pasu pasu.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu..[emoji3][emoji3]
Huyo mwanamke anatakiwa aonje joto la Jiwe.Malezi ya watoto yapo tu baada ya kugawa MALI...[emoji3]
Kwa hiyo Sikweli kwamba mke wa Achraf Hakimi alitaka wa achane?Hii taarifa ni ya uongo, Hakimi hajafungua hiyo kesi kwa hiyo save pumzi yako,
Pia Hiba sio Slay Queen ana kazi zake zinazomuingizia kipato, kutaka mgawanyo wa mali ni haki yake kama Mke aliyeishi nae miaka 5 na kuzaa nae juu sababu walichuma pamoja.
Wameshaachana kisicho cha kweli ni Hakimi kufungua kesi kutaka pesa za aliyekua mke wakeKwa hiyo Sikweli kwamba mke wa Achraf Hakimi alitaka wa achane?
Si nimeweka hapo Moja ya chanzo Cha taarifa kwenye uziWameshaachana kisicho cha kweli ni Hakimi kufungua kesi kutaka pesa za aliyekua mke wake
Wameishi miaka 2 sio 5 kama unavyosema iweje uhitaji nusu kwa nusuHii taarifa ni ya uongo, Hakimi hajafungua hiyo kesi kwa hiyo save pumzi yako,
Pia Hiba sio Slay Queen ana kazi zake zinazomuingizia kipato, kutaka mgawanyo wa mali ni haki yake kama Mke aliyeishi nae miaka 5 na kuzaa nae juu sababu walichuma pamoja.
Maisha yamenipiga ila kulima hapana kipenzini mdada huyo, huoni kasema anampenda hakimi..
naokoa jahazi dada yetu asije enda kuambulia maumivu kwa hakimi😜😜
Jeep rubicon njoo kwangu mama mi ntakupa heka 10 za shamba utalima hadi uchoke
Watamuogopa kama moto .Ashraf anapoenda atakosa demu. 😆😆😆
Sanamu haimtoshi,tuwaombe UN wabadilishe jina la Bahari ya hindi tuiite Hakim Ocean[emoji3]Jamaa ajengewe sanamu.
😀kwamba wanawake wote wapo hivyo mkuu?aHuyo bro Atapata wanawake kweli?
Yaan😀kwamba wanawake wote wapo hivyo mkuu?a
NakaziaA. Hakimi ni mwenyekiti wetu mpya wa wanaume duniani
Haya umesema wewe kwahiyo hayatabadili kitu kuwa anatakiwa amlipe jamaa nusu ya mali zake.Mwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Pole sana.Jibu hilo
Tulia wewe kumbe akili yako ndogo kiasi hiki aisee
Kitendo cha bi hiba kudai shauri la 50/50 ndiyo tukizungumzie hapa, hizi tantalila zingine unazozileta ni kutaka kupindisha mada tu.Tukirudi nyuma kwann huyo Hiba ali file a divorce? Huyo Achraf amemcheat mara ngapi? Kama hiyo haitoshi bado ana kesi ya ubakaji, hayo hamsemi mnayafutika
HahaaaSasa huyo wife nae afanye haraka kuhamisha pesa benki na kuandika mali zake kwa majina mengine.[emoji30]