Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
[emoji2][emoji16][emoji16]Mtamuua dada wa watu aisee
Ndoa zimekuwa vita sikuhizi 🤣🤣Asitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Kachizi tu hako katoto,Ndoa zimekuwa vita sikuhizi [emoji1787][emoji1787]
Hapo kavaa akili ya utoto.Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
Yaan balaa 🙌Kachizi tu hako katoto,
Ulimbukeni tu
Vzuri kabisa 😂😂😂😂Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
🤣🤣🤣🤣🤣Vzuri kabisa 😂😂😂😂
Hyo ndo dawa ya wadangaji.
Haiwezekani😂😂Ngoja nae akute mali anamiliki Mama wa mkewe
Umejiuliza kwanza ni hasara kiasi gani alikuwa anaenda kumtia?Angeachana nae hawa wanawake wana roho mbaya japo sio ote
Mambo mpenz💞Nimempenda sana Hakimi.
Anataka dada aonje maumivu ambayo angeyapata yeye
kama Boss wetu Hakimi anatafuta sifa, Je huyo mkewe yeye alikuwa anafuta nini?Asitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto