Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
50/50 ambayo Dunia inaitaka ndiyo hiyo sasa š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji16][emoji16]Mtamuua dada wa watu aisee
Ndoa zimekuwa vita sikuhizi š¤£š¤£Asitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Kachizi tu hako katoto,Ndoa zimekuwa vita sikuhizi [emoji1787][emoji1787]
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
Yaan balaa šKachizi tu hako katoto,
Ulimbukeni tu
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Vzuri kabisa šššš
Hyo ndo dawa ya wadangaji.
HaiwezekaniššNgoja nae akute mali anamiliki Mama wa mkewe
Umejiuliza kwanza ni hasara kiasi gani alikuwa anaenda kumtia?Angeachana nae hawa wanawake wana roho mbaya japo sio ote
Mambo mpenzšNimempenda sana Hakimi.
Anataka dada aonje maumivu ambayo angeyapata yeye
kama Boss wetu Hakimi anatafuta sifa, Je huyo mkewe yeye alikuwa anafuta nini?Asitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto