Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
kubababeki,Hackimi achukue mpaka mawigi atayauza tu asiwaze uyo kasuku abaki na komwe tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahakibwengo in chief
Ndo kwaanza kafungua watu akili, wadangaji hawaolewiSawaaa,
Ila ajue anajiharibia taswira yake hasa hizo Nchi za Ulaya, nimekaa paleeeee
Mkuu we cheka tu huyo kiumbe hajui kisasi cha Mwanamke😬😁😁😁🤣🤣🤣🤣
Yaan wataanzia kumbinyia hapo hapo, kama ana washauri wazuri wamwambie akae kimya tu aachane na kesi hiyo, akikaza fuvu itakula kwakeJamaa mshamba sana na limbukeni wa mali hiyo kesi yake ya ubakaji wafanye chapu itoke hukumu[emoji51][emoji51]
kubababeki,Hackimi achukue mpaka mawigi atayauza tu asiwaze uyo kasuku abaki na komwe tu.
PoleBaada ya hili la Hakimi, Nahisi itatungwa sheria mpya ya wanandoa kugawana mali sawa zile alizonazo mume na mke, coz siku zote mwanaume ndio huwa anatoa japo wote wanafanya kazi. Hii ndio 50/50.
We hutaolewa ila waumia sanaMbakaji, mzinifu wa nje ya ndoa, mbabaishaji, na bado mdhulumati..... Nchi yenyewe Ulaya yeye mwenyewe Muarabu koko wa kutoka Afrika, nipo nimekaa paleeeeeeeeee
Wadangaji wana alama?Ndo kwaanza kafungua watu akili, wadangaji hawaolewi
Yaani dogo namuonea huruma anaenda kunyooshwa vibay mda utaongeaMbakaji, mzinifu wa nje ya ndoa, mbabaishaji, na bado mdhulumati..... Nchi yenyewe Ulaya yeye mwenyewe Muarabu koko wa kutoka Afrika, nipo nimekaa paleeeeeeeeee
Hawana la kumfanya mtabaki kulia lia tu... Huku Putin, Huku Mchina, Hatujakaa sawa mara Hakimi huyu hapa. 🤣🤣🤣Yaan wataanzia kumbinyia hapo hapo, kama ana washauri wazuri wamwambie akae kimya tu aachane na kesi hiyo, akikaza fuvu itakula kwake
Hayanikuti kamweeeWadangaji wana alama?
Subiri yakukute [emoji1]
Umejuaje kama sijaolewa?We hutaolewa ila waumia sana
Kwa kua kapuku [emoji1787][emoji1787]Hayanikuti kamweee
We wasema, ila mi sio kapuku nina uhakika wa 10,000 kila sikuKwa kua kapuku [emoji1787][emoji1787]
Hehehehe mbona Putin, unashabikia vitu vya kijinga kweli hadi Putin [emoji2296]Hawana la kumfanya mtabaki kulia lia tu... Huku Putin, Huku Mchina, Hatujakaa sawa mara Hakimi huyu hapa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuhakikisha ni muhimuNgoja nae akute mali anamiliki Mama wa mkewe
Basi hohehae [emoji2960]We wasema, ila mi sio kapuku nina uhakika wa 10,000 kila siku