Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana.Unajua nini hiki anachofanya hakim haukutakiwa afanye kibinadamu angesamehe tu lakini kutokana ulaya kuwa na sheria zinazompa nguvu kubwa wanawake especially kwenye masuala haya ya divorce na kugawana mali kulingana na Hili imesababisha wanawake wengi wa uko ulaya watumie Huu mwanya kufanya utapeli wa ndoa ni kama kilichomtokea Mchezaji maarufu wa Zamani wa Arsenal Ebouer ambaye alifilisiwa kila kitu na mzungu mpaka nyumba walikuwa wanaishi bila hata huruma akawa masikini baada yakumkuta bahati nzuri team yake ya Zamani ikajitolea kumsaidia kiuchumi wapo Wanaume wengi wamehathirika na hizi sheria za ulaya I'm sure hiki alichofanya hakimi japo sio vizuri kurudisha ubaya kwa ubaya lakini kimetoa fundisho kubwa Sana na kinaweza kuleta mabadiliko kwa kiasi kubwa mno.
nguvu To yeye
Dr. Mariposa
Msanii
Mshana Jr
Numbisa
Acha dear achana nae usije ukapigwa ban achana nae kabisaNenda kwa huyo malaya mwenzio ukampoze na tako lako gumu kama skonzi yaa juzi,
Dume zima unatetemesha tako kwa dume lenzio hapo unataman ungemzalia ww hao mapacha tatizo huna ovary,
Achana na mimi choko mzee wee
Sawa dear ila kanikera sana kunitukania wazazi wangu kwa ajili ya ishu za kipumbavu kama hizi,Acha dear achana nae usije ukapigwa ban achana nae kabisa
Hapo kavaa akili ya utoto.
Akumbuke kuna child support atakayotakiwa kumpa huyo mama na ni hatari kutengeneza mazingira ya chuki au uadui na mama wa watoto wako
Achana nae watu wa namna hyo mara nyingi hua wanapenda kutafuta sababu za wengine kupigwa ban.Sawa dear ila kanikera sana kunitukania wazazi wangu kwa ajili ya ishu za kipumbavu kama hizi,
Kweli nimeamini Ibilisi ni Mtu.
Mamie punguza hasira nimeyahisi maumivu yako, kuna watu hawakupata malezi bora kwa wazazi wao ndio maana hawa heshimu wazazi wa wengine, mlaani shetani kisha achana nae.Umeekosa hoja unakimbilia wazazi, ubongo wako umejaa shahawa za machizi ndio maana huna akili Mbwa koko weeee
Child support atatoa nini na hana kitu? Labda bibi mtoto atoeHapo kavaa akili ya utoto.
Akumbuke kuna child support atakayotakiwa kumpa huyo mama na ni hatari kutengeneza mazingira ya chuki au uadui na mama wa watoto wako
Nimekuelewa Mamie,Mamie punguza hasira nimeyahisi maumivu yako, kuna watu hawakupata malezi bora kwa wazazi wao ndio maana hawa heshimu wazazi wa wengine, mlaani shetani kisha achana nae.
Acha ujinga wako nani ameanza kutengeneza hiyo chuki na uadui?Hapo kavaa akili ya utoto.
Akumbuke kuna child support atakayotakiwa kumpa huyo mama na ni hatari kutengeneza mazingira ya chuki au uadui na mama wa watoto wako
Mkuu hawa watu ni wabinafsi sanaaaaHuyo dada wakati anataka
Mali za Ashraf alishindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto??
Ila mwanamke kushindana na mwanaume aliyezaa nae ni ujanja??Mwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Haachwi mtu mpaka kielewekeAngeachana nae hawa wanawake wana roho mbaya japo sio ote
Lazima ajambe cheche huyo dadaAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Hakuna ku let go,Angeanza yeye ku let goAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Kwa kua una personal details zake ndio maana umemuattack ili umdhalilishie wazazi wake!? Kijana kua na kiasi hii ni dunia tena ya mtandao hujui umfanyiaye ubaya leo kesho yatakurudi, na suala lake la usagaji alileta public angetaka kujificha angekaa nalo kimya kwanini iwe fimbo ya kumchapia utasema alikuomba mtaji wa biashara!Kama anajielewa mwambieni afute comment zake za matusi na mimi nitafuta zangu, simple and fuckin clear. Asidhan toka 2015 humu hatuna personal details zake, we start this here and end it here.