Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

Umesahau kwamba na wewe unaumizwa na mambo ya huyohuyo mtu tusomjua wote.

Af tako ananipa baba yako malaya mkubwa wewe. Unaanzisha matusi ya kisenge umesahau ulishaleta uzi humu kwamba wewe ni msagaji? U-shoga wako na familia yako unadhan kila mtu anao? Umesahu ushasema ulikua unawasaga hadi wafanyakazi wako? Hizo tabia umefundishwa na wazazi wako na unakuja kuniropokea hapa mimi mpuuzi wewe kawaropokee wazazi wako waloshindwa kukulea kwa maadili.

Na mali ndio sina nina vidude viwili tu na mashine moja ambayo baba ako ananyonya kila siku mpuuzi ww
Buddy! Just dump these b*ches.
 
Kwa kua una personal details zake ndio maana umemuattack ili umdhalilishie wazazi wake!? Kijana kua na kiasi hii ni dunia tena ya mtandao hujui umfanyiaye ubaya leo kesho yatakurudi, na suala lake la usagaji alileta public angetaka kujificha angekaa nalo kimya kwanini iwe fimbo ya kumchapia utasema alikuomba mtaji wa biashara!

Tuwe na kiasi binaadam uungwana haulipiwi, yangu ni hayo tu uwe na usiku mwema.
Umeongea kwa hekma
 
Back
Top Bottom