Umeulizwa ulete ushahidi unaotetea hoja yako kuwa MO hausiki tena na Simba Sc kwakuleta taarifa za nani aliyekusika na usajili huu wa Simba Sc, wewe unarukia mada nyingine.
Mnapoamua kujadili hoja (hasa kwa maandshi) jaribuni kuwa systematic na sio kuzijadili kiumbea-mbea, Dr. Kumbuka ni vyema ukajirekebisha katika hilo.
Aina ya ushabiki wa Tanzania ndo huu
Maana yake hata wewe ukiona Yanga wanashida unafurahi .. bila kujua kuwa Simba imara na Yanga imara ndo maendeleo ya soka Tanzania
Kweli naamini ushabiki wa mpira Tanzania uswahili mwingi sana
Acha wangaYaani hawakuamini? achana nao mashabiki maandazi hao..team isiposhuka daraja msimuu huu itakuwa maaajabu.. umeona wenzao yanga walivyosajili majembe ya nguvu tena kwa kuvunja benki siyo free transfers? utalinganisha na ushuzi waliosajili simba?
Hiki ndo kinachonifanya niwaone mashabiki wa hizi timu 2 za Kariakoo kama wahuni tu. Wakati Yanga inatambulisha wachezaji walikuja Simba na ujinga mwingi mpaka wa kukosoa majina ya wachezaji.Aina ya ushabiki wa Tanzania ndo huu
Maana yake hata wewe ukiona Yanga wanashida unafurahi .. bila kujua kuwa Simba imara na Yanga imara ndo maendeleo ya soka Tanzania
Kweli naamini ushabiki wa mpira Tanzania uswahili mwingi sana
Baba mwenye mtt mkubwa kuliko barbra hawezi akawa busy na mada kama zakoKwangu mimi ni binti tu kwa sababu nina mtoto mkubwa zaidi yake.
Kwa Barbra ni suala la muda tu ataondoka Simba! Swali ni nani na wa upande gani atakuja kama CEO? Hapo ndo kimbembe. Hizi timu bila kusimama watu wenye misimamo zinakufa. Wakitegemea mawazo ya kina Kilomoni na Mpili wataua timu.Binafsi sikubaliani na namna ya uendeshaji wa team anaotumia Barbra ila ulichoongea hakina ukweli.
Nilipenda sana uongozi wa MagoriKwa Barbra ni suala la muda tu ataondoka Simba! Swali ni nani na wa upande gani atakuja kama CEO? Hapo ndo kimbembe. Hizi timu bila kusimama watu wenye misimamo zinakufa. Wakitegemea mawazo ya kina Kilomoni na Mpili wataua timu.
[emoji23][emoji23] kweli huko mwenye akili ni mzee JK tu [emoji23][emoji23]Yaani hawakuamini? achana nao mashabiki maandazi hao..team isiposhuka daraja msimuu huu itakuwa maaajabu.. umeona wenzao yanga walivyosajili majembe ya nguvu tena kwa kuvunja benki siyo free transfers? utalinganisha na ushuzi waliosajili simba?
Huna lolote ndiyo maana hata habari uliyoleta ni famba ya kufikirika tu. Umetumia kituo cha radio ya mdogo wako wa kufikia kuichafua Simba sasa umehamia huku. Wewe ni mbea wa kawaida tu wa vijiwe vya umbeaUkiachana na Uyanga wangu.
Pale Simba nina washkaji wengi sana waliopo ndani ya Club Board.
Nje ya hapa mimi ni mtu wa watu.
Tulia wewe kibwengo, Babra yupo sanaKuna mpasuko mkubwa sana ndani ya klabu ya watani zangu, ila kwa bahati mbaya wengi hawafahamu kwa sababu mpasuko huo umewekwa siri kwa manufaa ya klabu.
Chanzo kimeanzia kwa Barbra Gonzalenz.
Namna ha uendeshwaji wa klabu wa huyu binti unawakwanza sana wenye simba yao. Yes namaanisha wenye simba yao, yaani lile kundi maalumu ambalo hunufaika pakubwa sana na klabu kifedha.
Kundi hilo hawataki kabisa kumuona huyu binti akifanya maamuzi makuu kuanzia msimu ujao.
Wanataka wao ndio waishikilie shoo nzima ya uendeshaji wa klabu. Mo amekwisha poke mapendekezo kutoka kwa kundi hilo. Mapendekezo hayo yamemkwaza sana Mo kiasi kwamba amefanya kama kuipotezea klabu kwenye gharama za usajili za msimu huu. Si mnajua mambo ya Mo ya kususa susa!
Lile kundi bhana ndio wakujita “ marafiki wa simba”.
Hawa jamaa ndio waliotaka kufanya madam ajiuzulu kipindi kile alichotaka kuitisha press. Ni hekima tu ya mmoja wao bwana jaribu tena kumrudisha ili waje kumuondoa kiujanja janja hapo baadae.
Hili kundi linafahamu kuwa boss kawasusia majukumu na anataka kubembelezwa na aombwe msamaha. Marafiki wamegoma kumlamba nyayo muhindi.
Wakaona wajiongeze kusaini mkataba wa M-BET mapema ili kupata pesa za kuendesha klabu lengo kumuonyesha Mo kuwa hata akisusa basi linaweza safiri kwa umbali mrefu.
Jamaa hao hao wakaona wampigie simu adui mkuu wa boss bwana Kigwanomics ili aongeze nguvu kiuchumi kama ikiwezekana. Kigwa akakubari baada ya kupewa simulizi nzima ya kinacho endelea.
Kigwa hatogharamia usajili wa wachezaji ila sasa atakuwa beneti na “marafiki wa simba” ili kulisukuma basi.
Nitakuwa nikitoa update ya kinacho endelea. Stay tuned.
“WATANI ZANGU JIANDAENI, LESO HAZITOTOSHA BALI TAULO LITAFAA KUFUTA MACHOZI.
Kama kipindi kile Morrison akiwa Simba siku akifunga goli kesho yake wanaamkia CAS na porojo nyingi mitandaoni. Na bado zinashuka mashine kubwa ndiyo watatamani kunywa sumu kabisaYaan tatizo linaanzi kwa Okrah kutua msimbazi,utopolo hamtoacha kuweweseka mpaka mwende kuzimu
Kuna mmoja ni mumeo wa hiari ndiye anakulisha hayo matango pori baada ya kuzobiwa mianya ya upigaji. Ila mkewe akijua kuwa wewe ni mgombea mwenza wake shauri yakoNina shinda vijiweni na hao viongozi wenu mlio wapigia kura kwenye mkutano mkuu wa klabu.