Sakata Mkataba wa Bandari: Wakili Mwabukusi asema asiyetaka kukosolewa aondoke kwenye ofisi za Umma

Inaonyesha kazi ulioipita inatokana na kamlete. Huna uzalendo kwa nchi ila kwa waliokuajiri
Mzalendo ni nani? watu wakupingapinga ndio uzalendo au?ukiunga mkono unakuwa sio mzalendo.
 
Asiye taka kukusolewa akaongoze familia yake,nchi hii sio Mali ya viongozi ni mali ya umma wote hivyo kila mtu ana wajibu wa kutetea maslahi ya taifa
 
Nyinyi mshukuru sana Mungu alimchukua JPM mapema angewarudisha kwenye mapango mlikotoka. Mama katukosea sana na huruma zake. Ingepita operation moja kabambe ndio mngeshika adabu mbwa nyie.
Exactly,Hawa mbwa dawa yao kuwashoot tu
 
Kama hayo unayajua kilio cha ninisasa?
 
Nyinyi mshukuru sana Mungu alimchukua JPM mapema angewarudisha kwenye mapango mlikotoka. Mama katukosea sana na huruma zake. Ingepita operation moja kabambe ndio mngeshika adabu mbwa nyie.
Na Magufuli asingekubali kuja na mikataba mibovu kama hiyo.
 
Amani ya nchi bila uhuru ni kazi bure. Hatuwezi kuuzwa kirahisi kwa bei ya bazoka.

# Asiyetaka kukosolewa atoke kwenye ofisi aende akalee wajukuu#

Uzumbukuku wa mtu mmoja hauwezi kugharimu hadi vizazi ambavyo bado vipo kwenye viuno vyetu.
Kkenge nyie tutaawanyoosha
 
Kwani wewe hulijui hilo? nakushangaa sana kama unaamini iko siku utaiondoa CCM kwa kupiga kura yako. CCM haitoki CCM ni zaidi ya chama ila manweza kuja kuomba uwakilishi tu tukawapa baadhi ya viti kuonesha na nyinyi mumo mpate kula ruzuku kidogo.
Narudia tena, hizo lugha za kujigamba zitafika mwisho. Tutahakikisha njia ya Hadaa ya box la kura kwanza wananchi wanaipuuza kama wanavyozidi kuipuuza. Kisha baada ya hapo tutatafuta njia nyingine ya kuwatoa madarakani. Kama huamini hili, tunza hii post kisha utapata mrejesho wake.
 
Na nani alikuwa anawatetea wale watu wa migodi? sio Lissuna nyinyi Chadema au mnajitoa ufahamu. Risasi alipata sababu nini? si aliitwa na JPM wasaliti wa nchi sababu alikuwa kutwa akiwapigania wakati JPM alikuwa anasema hapana.
hapo nimeizungumzia Chadema au unajua Mimi ni mfuasi wa Chama gani? usiwe unakurupuka soma kitu uelewe.
 
Ccm walishinda uchaguzi kwani kulikuwa na uchaguzi? Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Na hakuna sera yoyote iliyowapa ccm kura, bali wachache waliipa kura ccm kwa mazoea.

Na ile inayoitwa ilani sio chochote wala nini, bali ni orodha ya mahitaji yote ya binadamu hata walio nje ya Tanzania. Machafuko tu ndio yatairudisha nchi hii kwenye mstari.
 
Hilo ndio jibu la wezi wa CCM ofisi ni za umma vumilia maneno yote mazuri na mabaya
 
kurusha maneno hayo kwa waziri mkuu ni issue ya mtu binafsi, sio ya kijinai, waziri mkuu kama anaona amechafuliwa akafungue kesi ya madai ya kuchafuliwa mahakamani, hapo jinai itasimamaje sasa? wakati mtu ana maushahidi kwanza, yale yote ameongea mwabukusi ushahidi upo.
 
Na nani alikuwa anawatetea wale watu wa migodi? sio Lissuna nyinyi Chadema au mnajitoa ufahamu. Risasi alipata sababu nini? si aliitwa na JPM wasaliti wa nchi sababu alikuwa kutwa akiwapigania wakati JPM alikuwa anasema hapana.
Lisu alianza kuwatetea wananchi wa migodini wakati Magufuli yuko kimya huko CCM akilinda cheo. Ni mzungu gani anasubiri kutetewa na Lisu kuhusu kumiliki migodi. Ni migodi gani hawakuwa wamepewa na CCM hadi wamsubiri Lisu?

Magufuli alichokuwa anafanya kwenye suala la migodi ni kutafuta sifa za kisiasa, akaona Lisu ndio mwenye sifa hiyo, hivyo kwa ulevi wake wa madaraka ikibidi atangeneze story za kubumba ili kumchafua Lisu, na yeye aonekane wa maana. Lisu hakusubiri kuwa rais ndio atetee wananchi wa migodini, bali Magufuli ndio alisubiri hadi awe rais ndio atetee migodi.
 
Wewe acha kujitekenya.
 
Kaka utakuwa na shida si kidogo mbona unafurahia mateso ya wenzako. Mfano Lisu kupigwa risasi zote zile bado huwezi kumhurumia. Kinyume chake unamkebehi. Ila kumbuka hujafa hujaumbika.
 
hapo nimeizungumzia Chadema au unajua Mimi ni mfuasi wa Chama gani? usiwe unakurupuka soma kitu uelewe.
Nchi chama kimoja tu CCM. Unajuwa kama wachezaji mpira wa kibongo ndoto yao kuchezea Simba au Yanga, ukikosa huko ndio utawakuta Coastal, Namungo sijui Mtibwa lakini lengo lao moja tu Simba/Yanga. Ndio vyama vya siasa na wanasiasa bongo. wakikosa CCM wanakimbilia huko kwingine kuongeza kiwango wakicheza vizuri wanasajiliwa tena CCM. Kwa maana hii wapinzani wote huko wanadamu ya CCM nje ni mbwembwe waonekane. Kupenya CCM sio mchezo uwe na kiwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…