Hamna sio makombe..kukosa makombe kawaida...timu haiwezi kuwa kwny form kwa miaka mfululizo kuna kuchoka tuuStress za kukosa makombe?
Tulia mama, ndivyo Yanga walivyoteseka enzi za mdororo wa team🤣🤣🤣
Tulia ulee ndoa mamaa😂Hamna sio makombe..kukosa makombe kawaida...timu haiwezi kuwa kwny form kwa miaka mfululizo kuna kuchoka tuu
Ila usihame, nitamcheka nani sasa!🤣🤣🤣🤣Sifi mzee mwenzangu ila msimu huu cha moto nimeiona, hakuna rangi nmeacha kuona, mpaka HUDHURUNGI nimeiona. 😂🤣
Wataje ili likitokea la kutokea nikupe pole🤣Wengi tuu...hizi ni siri za kambi
Na kweli mwenzangu, haiwezekani sote tuwe gongowazi.. Nitabaki nyama unyamani.Ila usihame, nitamcheka nani sasa!🤣🤣🤣🤣
Matusi ya reja reja haya mkuundu gu yangu. 😂🤣Vumilia kitu kiingie mkuu usikilizie utamu wa kushindwa🤣🤣🤣
Atoto
Na mimi hivyohivyo. Bora nitumie zile dakika 90 kujenga himaya ya mjukuu wa ZwangendabaKaribia nitaacha kushabikia mpira ...
Usiniulize kwanini
Kama nakuona hiyo siku utakavyo PARA MIWA.. MKUUNDU GU YANGU😂Ngoja kidogo ratiba ya 23/5 na 3/6 Caf..Yanga amalizie hiyo kitu chuma ikuingie vizuri mkuu ndu gu yangu🤣🤣
Utaanza kuwachawia sasa ili waondoke unipe pole za kiunafiki za kiutopolo 😆 😆 😆 😆Wataje ili likitokea la kutokea nikupe pole🤣
Shida ndo naanzaje..ndoa imeshanizoea hivi hivi 😆Tulia ulee ndoa mamaa😂
Inoteshe au unataka uzoefu mpya? 😂😂Shida ndo naanzaje..ndoa imeshanizoea hivi hivi 😆
Sawa sawa mkuundu gu yanguTutawaparamia wao mkuu ndu gu yangu wewe tuliza tu😆
Baki tu huko kwa madunduka, kolowizard wewe🤣Na kweli mwenzangu, haiwezekani sote tuwe gongowazi.. Nitabaki nyama unyamani.
Mimi nikae utopolo.. Ova Mai ded bod🤣Baki tu huko kwa madunduka, kolowizard wewe🤣
Nitampepea usijali😅😅🤣🤣🤣🤣🤣
Unamuongezea stress mzee mwenzangu!! Usijeniulia mtu.
Mungu asaidie waondoke tu🤣🤣🤣Utaanza kuwachawia sasa ili waondoke unipe pole za kiunafiki za kiutopolo 😆 😆 😆 😆