Sakho na Phiri waomba kuondoka Simba

Sakho na Phiri waomba kuondoka Simba

1. Phili ni mchezaji wa KAWAIDA sana.
ZORAN MARK NA ROBERTINHO MAKOCHA WOTE HAWAKUMUAMINI.


2. ALAFU Bahati Mbaya zaidi phili ni no 10.
Hiyo namba Ina watu kama
Sackho.
Chama.
Saido.

3. JARIBU kumuangalia Phili vizuri akiwa na mpira anaanguka sana, anapoteza mno, anapata majeraha mengi.

Mechi ya Simba na yanga 1.1 ndio nilipomchunguza phili vizuri. Alikuwa mbovu mno

UBORA WA PHILI.

Phili ni mzuri kwenye kufunga tu
Sasa kwan sisi tunataka nin zaid ya kufunga
 
Back
Top Bottom