Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Chawa wake mtasoma na kumpelekea πŸ˜…
tatizo nawewe husomi vizuri yeye amesema alishatumia njia zote hajafanikiwa yaani njia za kidiplomasia kati yake na salaa, akaenda polisi nako wakamfukuza,, sasa unategemea kuna nini tena hapo? hata kama chawa wake watamfikishia unadhani kwamba yeye hajui kwamba kuna jambo linaendelea....tatizo huwa hampendi ukweli ila ukweli ni Kwamba hakuna kitu chochote anachoweza kumtisha wala kumfanya Salaaa,,,,,, Tajiri mtata kama salaa
 
Sawa chawa wake ujumbe umefika lakiniπŸ˜…πŸ˜…
 
NGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELE

Huwezi nielewa hadi yakukute ndipo utanielewa,Hii ngozi ina laaana ya milele na kamwe siwezi kuikubali ngozi nyeusi japo kuwa mimi ni mweusi,weusi wanapaswa kufa duniani watoweke maana ni laana
Umelaaniwa ww labda kuwa na stara ya maneno kwa iyo ngozi nyuepe ndio imebarikiwa sio ,,tembea dunian uwe na exposure ya watu weupe pia ndio uje uongee hayo maneno

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…