Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Mi napenda kama hvyo mkishindwa wamalizeni kibingwa tu Kwani shi ngapi!!!!
 

Digidigi hawezi kuwinda swala, wote wanakula majani.

Ila point yako imeeleweka
 
Chill unamwambia eti awe mzalendo,kwakua akilipwa hataleta mrejesho😅uzalendo baki nao wewe mnafiq😅😅
Unaona sasa ulivyokua na uwezo mdogo wa uelewa? au umeamua tu kucomment ili na wewe usisahaulike kua umo humu JF? ukiona kitu kipo nje ya uwezo wako wa uelewa ni bora ukafunga domo ili usijulikane kua huna ujualo.
 
Namshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Naweka Ahadi ya Kuweka Kambi hapa mpka muda wa Kashfa utimie.

Nimelala nikakufikiria sana na nimepitisha maamuzi ya Kukusaidia kutimiza lengo lako kwa Mlengwa, iwe ni kisheria Au Kimafia. Endapo tu utaleta Ushahidi wenye Mashiko
 
Umetisha sana mzee kuna mtu humu anatukanwa anaitwa chawa kisa yupo upande wa Salaah.
 
Chill bloo huo uwezo mkubwa ulionao we kilaza umekufikisha wapi?keep quiet keyboard warrior 😅😅
Unaona sasa ulivyokua na uwezo mdogo wa uelewa? au umeamua tu kucomment ili na wewe usisahaulike kua umo humu JF? ukiona kitu kipo nje ya uwezo wako wa uelewa ni bora ukafunga domo ili usijulikane kua huna ujualo.
 
Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.
Nimesoma tu paragraph ya kwanza moja ,kwa moja nikajua ni yule tapeli, dhulumati, mhuni, na mkwepa kodi mkuu!
Huyu jamaa amewakamata sana watu wengi wakubwa hasa awamu hii kwani wengi ni makanjanja na hupishana kwenda kwake kutaka 'msaada'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…