Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Asante sana Mrs. Salaah, ni kweli mnaamini hivyo, hivi yule kaka yao jambazi aliyekuwa anaonea watu yuko wapi hivi sasa baada ya kumwagiwa tindikali? si anaishi kama mjusi hata msikitini hawezi kwenda wala kuonekana kwenye halaiki? mifumo ikishindwa kuchukua hatua hata wanadamu wanaweza chukua hatua.
Mi napenda kama hvyo mkishindwa wamalizeni kibingwa tu Kwani shi ngapi!!!!
 
Kama umedhulumiwa mali Yako na ukiangalia huwezi mfanya lolote mdhulumati sababu mazingira yanampendelea.

Tafuta na wewe njia haramu peleka kilio kwake

Ila kama imekuuma sana moyo na unaona kabisa huwezi vumilia

Kuna watu ni wapole sana ila Siku ukimtibua ndio utajua kuwa hata shetani aliwahi kuwa malaika.

Mimi ikija tokea siku wakanifanyia ubaya ubayani yaani ikaa affect maisha yangu completely aisee simwachi mtu nitalipiza maradufu chamoto atakiona sitomuua ila lakini ajutie maisha yake yote yaliyobakia duniani.

Nitamwinda kama digidigi anavyomwinda swala hadi aingie kwenye 18 zangu.

Kuna watu wanaona sifa kuumiza wenzio Kila siku kisa wanyonge anatakiwa aibuke mnyonge mmoja atelekeze mkakati wake barabara! Ili madhalimu nao waipate waipate fresh.

Digidigi hawezi kuwinda swala, wote wanakula majani.

Ila point yako imeeleweka
 
Chill unamwambia eti awe mzalendo,kwakua akilipwa hataleta mrejesho😅uzalendo baki nao wewe mnafiq😅😅
Unaona sasa ulivyokua na uwezo mdogo wa uelewa? au umeamua tu kucomment ili na wewe usisahaulike kua umo humu JF? ukiona kitu kipo nje ya uwezo wako wa uelewa ni bora ukafunga domo ili usijulikane kua huna ujualo.
 
Namshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Naweka Ahadi ya Kuweka Kambi hapa mpka muda wa Kashfa utimie.

Nimelala nikakufikiria sana na nimepitisha maamuzi ya Kukusaidia kutimiza lengo lako kwa Mlengwa, iwe ni kisheria Au Kimafia. Endapo tu utaleta Ushahidi wenye Mashiko
 
Utapambana nao peke yako usipokuwa makini.....wanaofaidika na huduma zao ni wengi kuliko mnaojipanga kumuharibia,shida ambayo jamaa Salaah na his co.ni kutaka kuwaamini wabongo ktk mambo ya pesa na wakishaharibu wanataka wasamehewe,imefikia dada atawasamehe wangapi kwenye upotevu wa pesa na akiwadai ndo hapa wanakuja kutaka huruma kwa sie wananchi woote utafikiri walitushirikisha ktk huo upotevu

Halafu itambulike kuwa sheria ya ukwepaji wa kodi haimfungi wala kumuhukumu pekee yake,itabidi uwataje na watendaji wa serikali anaoshirikiana na

Ttzo letu tunapenda upigaji na kupotezeana pesa na tukidaiwa tunaona jamaa anatuonea au kutubagua kutokana na ngozi na uwezo alionao......tujifunze uaminifu
Umetisha sana mzee kuna mtu humu anatukanwa anaitwa chawa kisa yupo upande wa Salaah.
 
Chill bloo huo uwezo mkubwa ulionao we kilaza umekufikisha wapi?keep quiet keyboard warrior 😅😅
Unaona sasa ulivyokua na uwezo mdogo wa uelewa? au umeamua tu kucomment ili na wewe usisahaulike kua umo humu JF? ukiona kitu kipo nje ya uwezo wako wa uelewa ni bora ukafunga domo ili usijulikane kua huna ujualo.
 
Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.
Nimesoma tu paragraph ya kwanza moja ,kwa moja nikajua ni yule tapeli, dhulumati, mhuni, na mkwepa kodi mkuu!
Huyu jamaa amewakamata sana watu wengi wakubwa hasa awamu hii kwani wengi ni makanjanja na hupishana kwenda kwake kutaka 'msaada'
 
Back
Top Bottom