Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

sasa mbona unamtishia nyau,,, kama njia zote zimeshindikana kwanini usiweke hicho unachoita uchafu hapa? unafikir salaa atasoma haapa? au unafikiri anatishika na wewe? Wachafu hawachafuki boss
Ni kweli kama anataka taarifa iwe transparent na imfikie huyo huyo tajiri hii si sehemu sahihi Sana ajilipue tu kwenye Radio na TV stations kama kweli anajiimini
 
Kiapo changu ni kile kile nitakuwa na mtanzania mwenzangu dhidi ya raia mwingine yoyote WA taifa lolote.


Natamani Sana huu msimamo tungekuwa nao watanzania wote. South Africa huwezi kukuta mwarabu au mchina au muhindi anajitapa mbele ya msouth Africa. Kule raia WA South Africa ndio WA Kwanza Kwa kila kitu.

Hapa tanzania unakuta jitu jeusi linamtetea Ghalib au Dewij wakati anaonea weusi wenzie
Njaa baba njaaaa
 
Tena hao waarabu wana mila yao kwamba mwanamke hapaswi kuolewa kama hana bikra, hata kama ana miaka 30, kwahiyo wanachofanya ili kubakiza bikra ni kufanya kimyume na maumbile, anaweza akafanya kinyume na maumbile kuanzia ana miaka 18 hadi 28, na bado anakuwa bikra siku ya kufunga ndoa.., hiyo ndio inasababisha waarabu wengi kusambaza ushoga sehemu za mwambao wa Afrika mashariki. Sasa wakiona unatembea na dada yao wanajua directly kabisa umemla ndogo.., maana bikra lazima awe nayo..
[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3]afu kweli ujue
 
Wale Mungu tu aamue wafanyabiashara nomaaaa sana,Wana majini wachawi na waganga wakubwa wakubwa,makafara Yao wale ngamia na ng'ombe ,anapigiwa Dua mnyama anatitia chini,wanazikwa hai wale huwagusi
Duu. Ardhi inammeza mzimamzima? Utajiri wa hivyo hapana maana hukawii kumfanya mwanao zezeta.
 
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Masaa 72 bado tu hayajatimia? Au stop watch yangu nayo imestop.
 
Jamaa wana roho mbaya sana hao, Mimi nina habari zao kutoka kwa jamaa wawili ambao walishawahi kufanya kazi kwa huyu Mfadhili wa Yanga, Yaani huwa inasikitisha sana mmoja alikuwa ni Mwalimu alidhurumiwa hela ambayo ilikuwa ni dola 300 maana huyo jamaa alikuwa ni anawafundisha watoto wa Tajiri Tuition, Jamaa akatafuta Mganga awaroge ili alipwe hela yake yule Mganga akamwambia ukweli hawa Wana Majini sana hii kazi ni ngumu we Muombe Mungu ili ulipwe hela yako. Na Mwingine alikuwa ni Fundi Umeme kwenye Kiwanda cha Magodoro kule Mikocheni huyo jamaa alikatwa mkono kimiujiza huyo ndio aliniambia hiyo story ya Kaka Mtu aliyemwagiwa Tindikali nayo ni hivyo hivyo dhuluma. 😢 😢 😢 😢
Mmmhhh
 
Back
Top Bottom