Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

sasa mbona unamtishia nyau,,, kama njia zote zimeshindikana kwanini usiweke hicho unachoita uchafu hapa? unafikir salaa atasoma haapa? au unafikiri anatishika na wewe? Wachafu hawachafuki boss
Ni kweli kama anataka taarifa iwe transparent na imfikie huyo huyo tajiri hii si sehemu sahihi Sana ajilipue tu kwenye Radio na TV stations kama kweli anajiimini
 
Njaa baba njaaaa
 
[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3]afu kweli ujue
 
Wale Mungu tu aamue wafanyabiashara nomaaaa sana,Wana majini wachawi na waganga wakubwa wakubwa,makafara Yao wale ngamia na ng'ombe ,anapigiwa Dua mnyama anatitia chini,wanazikwa hai wale huwagusi
Duu. Ardhi inammeza mzimamzima? Utajiri wa hivyo hapana maana hukawii kumfanya mwanao zezeta.
 
Masaa 72 bado tu hayajatimia? Au stop watch yangu nayo imestop.
 
Mmmhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…