Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mng'oa Kucha.Yule aliyetoa masaa kwa hakimu ni kiboko, siku tatu na matanga tumeyaona.
Hahahahah anaweza akaisha.na G63 AMG yake kwa road.. jamaa kaanzisha bifu zito sana , sie zetu dua tu jamaa wasimkamate
Si amewaleteeni ili mkaandamane kuwapiga vita? Au hamtaenda?Sasa kama serikali iko mfukoni huoni kama unajisumbua kuanzisha thread ambayo haitasaidia lolote?
Mbona unampangia mtu jambo lake? Jifunze kuheshimu maamuzi ya mtu...Toka June Mwaka Mpaka Leo March ni Miezi NANE! Bado unawatishia Nyau ya Masaa 72, wakati wamekaa Miezi NANE na HAKI ya Mtu ?
Unadhani tishio lako la Masaa 72 litasaidia?
Kwa Nini Usiseme TU ulichonacho?
Au Sio kweli ? Au unaogopa?
Na wewe nifanyie bas ile kaz yangu me nkale helaaMbona unampangia mtu jambo lake? Jifunze kuheshimu maamuzi ya mtu
Nakumbuka sana. Takribani 30 yameshakatika.....Una Masaa 72 kumbuka !....
Nitazingatia muda isipite hata sekunde. Bora iwe kabla na sio baada.Masaa 43 kamili to Go
Posted yesterday 11:52 J4
Now is 15:53 J5
Tayari hivi ilikuwa unanilipa au ilikuwa ni bonus??? 🤣 🤣 🤣 🤣Na wewe nifanyie bas ile kaz yangu me nkale helaa
Mkuu anika basi ili watu wanaohusika wachukue hatua.Kwa leo sitaandika mengi.
Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.
Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.
Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.
Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.
Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.
Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.
Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.
Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.
Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.
Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
48 HRS REMAINEDKwa leo sitaandika mengi.
Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.
Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.
Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.
Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.
Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.
Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.
Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.
Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.
Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.
Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Ile ilikuwa bonus ila kama ujuavyo hapa vikaz huwa haviishTayari hivi ilikuwa unanilipa au ilikuwa ni bonus??? 🤣 🤣 🤣 🤣
Tuma hata 10 k basi wewe mtu mzito sana nikale Chipsi na Samaki kama siku ile 🤣🤣🤣Ile ilikuwa bonus ila kama ujuavyo hapa vikaz huwa haviish
Bado masaa 42?me najitolea kuhesabu wakuu
bado masaa 42:46 sec 35 min sec 92
now 18:06
Wana majeshi ya majini makataWanarogeka kwani hao?
Hao wamejizatiti, hao ni kutumia mbinu za kihuni tu.
Wanarogeka kwani hao?
Hao wamejizatiti, hao ni kutumia mbinu za kihuni tu.