Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Ile ghorofa sasa imechakaa imekuwa ni jumba la kufugia majini yao, kuna Dada alikuwa anaishi mule cha moto alikiona kila siku alikuwa anafumuliwa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Tupe habari kamili kuhusu majink wa hawa jamaa ndugu
 
Nimefika hapa,nasubiri Muda wa saa 72 utimie makombora yaanze kuvumishwa kuelekea kwa adui.

Mtoa mada nakuunga mkono,dhuluma haikubaliki,kama unasema kweli basi tunasubiri huo ushahidi.

Kama kuna Chawa wa GSM humu watulie muda ufike kwanza,hizi bado ni tuhuma tuwe wavumilivu muda ufike.
 
Hao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Dawa ni kumtafutia jeshi la majini yenye nguvu zaidi kuzidi jeshi la majini alilonalo, dawa ya jini ni jini tu na tuendelee kuyapiganisha majini huko majini yaliko majini na usinitupie jini, mleta uzi mda umekwisha mwaga uozo huo tuusome basi mbon unatuweka sana hivi au unaogopa kutupiwa majini na wewe?
 
Hao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Toba, Toba, Toba! hiyo ndio shida ya waarabu na hayo madude
 
Naona unasubiria jambo lishushwe
[emoji1]

Ova

😅😅😅
Ndio mazoea yangu kusoma na kupita., kama hawa sihusiki nao maishani mwangu hivyo ni kupata udaku tu wa wananchi wengine hapa nchini.

Ila interest yangu kubwa kwenye uzi huu ni mleta mada na yake aliyosema,
je atatenda 🤣🤣🤣💃🏽💃🏽💃🏽
 
Said Alikua Mkorofi sana...akamwagiwa Tindikali mpaka leo ni kilema usoni....

Kashfa unayotaka kuleta inajulikana,kashfa ya kuwapa hela hapa unaichukulia china au dubai ni ishu ya kawaida sana..enzi ya Magu matajiri wengi waliitumia..yaani ipo hivi...uko dubai au china na unataka kuingiza hela bongo..unawapa hela china...saa hiyo hiyo unapewa bongo...

Wale ni wachafu na sasa hv wana nguvu kwasababu ya Mr. Born Town...
Ukiona panya anachezacheza au kupitapita sebuleni jua tundu lipo karibu na ni njia kuelekea Tanga
 
Back
Top Bottom