mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Si unajuaa tena mzee wa Ova Ova OvaHapo kwenye ova sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ova ina historia yake ujue....
Lazima niikumbukeee
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unajuaa tena mzee wa Ova Ova OvaHapo kwenye ova sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yupo huyo? Jazia jazia nyama mkuuYule aliyetoa masaa kwa hakimu ni kiboko, siku tatu na matanga tumeyaona.
Tupe habari kamili kuhusu majink wa hawa jamaa nduguIle ghorofa sasa imechakaa imekuwa ni jumba la kufugia majini yao, kuna Dada alikuwa anaishi mule cha moto alikiona kila siku alikuwa anafumuliwa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Dawa ni kumtafutia jeshi la majini yenye nguvu zaidi kuzidi jeshi la majini alilonalo, dawa ya jini ni jini tu na tuendelee kuyapiganisha majini huko majini yaliko majini na usinitupie jini, mleta uzi mda umekwisha mwaga uozo huo tuusome basi mbon unatuweka sana hivi au unaogopa kutupiwa majini na wewe?Hao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Let's maneno mwaga uozo huo tupo hapa tunangoja kwa hamu mkuu, fanya km unabonyeza keyboard alafu unabonyeza ENTER hapo kwenye Post reply tunangoja uanike hayo madudu tuyaoneSawa Mkuu. Nafurahi watu wengi wamesoma hii habari. Zaidi ya 24000.
Sasa habari yenyewe kamili nafikiri itavunja record.
Toba, Toba, Toba! hiyo ndio shida ya waarabu na hayo madudeHao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Weka mwambaaaSawa Mkuu. Nafurahi watu wengi wamesoma hii habari. Zaidi ya 24000.
Sasa habari yenyewe kamili nafikiri itavunja record.
Weka No yake huyoooYupo hapo Lumumba....au upewe namba umpigie?
Anaitwa nani?Yupoo bwana labda km kapona ila usikatae...
Naona unasubiria jambo lishushwe
[emoji1]
Ova
Ukiona panya anatamba jua tundu lipo karibu, na tundu lenyewe lipo kuelekea TangaHawa jamaa sahvi wanatamba
Wao tu
Ova
Jembe la kukwangulia mbolea kwenye zizi la nguruwe.Du ana USD 800million wakati tuanyemsikia ndie tajiri mkubwa Bongo MO ana utajiri wa USD 500 millioni, huyu bwana hata katika orodha ya walipa kodi wakubwa hayumo RIP Jembe Magu
Ukiona panya anachezacheza au kupitapita sebuleni jua tundu lipo karibu na ni njia kuelekea TangaSaid Alikua Mkorofi sana...akamwagiwa Tindikali mpaka leo ni kilema usoni....
Kashfa unayotaka kuleta inajulikana,kashfa ya kuwapa hela hapa unaichukulia china au dubai ni ishu ya kawaida sana..enzi ya Magu matajiri wengi waliitumia..yaani ipo hivi...uko dubai au china na unataka kuingiza hela bongo..unawapa hela china...saa hiyo hiyo unapewa bongo...
Wale ni wachafu na sasa hv wana nguvu kwasababu ya Mr. Born Town...
Mo ana utajiri wa $1.5 billion hiyo $500 million umeipata wapiDu ana USD 800million wakati tuanyemsikia ndie tajiri mkubwa Bongo MO ana utajiri wa USD 500 millioni, huyu bwana hata katika orodha ya walipa kodi wakubwa hayumo RIP Jembe Magu
Na sasa ni waziri!"Tajiri mtata kama Salaah" - Mwana Fa
"Mipango baba sihitaji shida na wana ,mipango ya namba" - Mwana Fa