Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hii familia ikiongozwa na GSM na home shopping kama kaka wakubwa watu wanateseka na dhulma zao aisee.

Nikutie moyo haki inatafutwa Kwa njia yoyote muhimu uwe unajua uko sahihi tu.

Nasubiri Yako niisikie lakini najua Kuna familia Moja Iko kariakoo ya waarabu wenzao wame watapeli eneo lao la kigamboni Kwa msomali (vijibweni,tungi) ekari nne lenye sheli na magodown lenye thamani zaidi ya bilioni 7 kupitia polisi na mahakama

Hiyo familia Ina subra inafata channels lakini niliyoyasikia karibu wataweka kwenye vyombo vya habari sehemu pekee iliyobaki kutegemea msaada Kwa waziri mkuu na mama rais maana mahakama yote imetiwa mfukoni na wizara ya mambo ya ndani.
 
Chawa promax wewe GSM, silent ocean FSM na huyo aliekuwa home shopping wote ndugu na wote majambazi na matapeli na wote wachafu.

Eti Kwa JPM Bado GSM alikuwa juu unataka kumdanganya nani humu kipindi cha JPM walihama na nchi kabisa na operations zao za kitapeli na ujanja walizifanya wakiwa nje ya nchi,waliishi south Africa na mpaka walisomesha watoto wao huko bada JPM kufariki ndiyo walirudi huku tena mazima.

Kwa taarifa Yako huyo GSM ndiyo mafia kuliko ndugu zake wote.

Peleka taarifa kwao Uzi huu Kuna wengi tume athirika na dhulma za hii familia ila Kuna channels tunazifuata za kutaka kutendewa haki ambazo mpaka Sasa haya yote yanayo ongelewa humu kwamba wameishika serikali ni kweli. but mtu ukimuona anakuja sehemu kama JF basi ujue ana duku duku lake ambalo serikalini au kokote wenye kutoa haki hakupata msaada.
Mzee utakuja kufa kwa chuki
 
Niwakumbushe principle ya Kimungu, ukiamua kupambana na adui yako kwa njia zisizo za ki Mungu yeye hujitoa means zenu ziamue! Ila wote mtahukumiwa kwahilo labda toba iwaokoe.

Ila ukitumia njia ya Ki Mungu (kama injili inavyoelekeza juu ya adui) hukumu/kisasi kinakuwa juu ya Bwana! Hapo hata ufuge majini yote ya ulimwengu mzima utapigwa tu maana ni kisasi cha Bwana.

Usiombe umkosee mtu alafu akusamehe na kumuachia Mungu na awe mtu wa ibada! Utakutana na moto ukiwa hai.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Niwakumbushe principle ya Kimungu, ukiamua kupambana na adui yako kwa njia zisizo za ki Mungu yeye hujitoa means zenu ziamue! Ila wote mtahukumiwa kwahilo labda toba iwaokoe.

Ila ukitumia njia ya Ki Mungu (kama injili inavyoelekeza juu ya adui) hukumu/kisasi kinakuwa juu ya Bwana! Hapo hata ufuge majini yote ya ulimwengu mzima utapigwa tu maana ni kisasi cha Bwana.

Usiombe umkosee mtu alafu akusamehe na kumuachia Mungu na awe mtu wa ibada! Utakutana na moto ukiwa hai.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Moto uwakao sindio mkuuu :Mungu muweza wa yote
 
Utapambana nao peke yako usipokuwa makini.....wanaofaidika na huduma zao ni wengi kuliko mnaojipanga kumuharibia,shida ambayo jamaa Salaah na his co.ni kutaka kuwaamini wabongo ktk mambo ya pesa na wakishaharibu wanataka wasamehewe,imefikia sasa atawasamehe wangapi kwenye upotevu wa pesa na akiwadai ndo hapa wanakuja kutaka huruma kwa sie wananchi woote utafikiri walitushirikisha ktk huo upotevu

Halafu itambulike kuwa sheria ya ukwepaji wa kodi haimfungi wala kumuhukumu pekee yake,itabidi uwataje na watendaji wa serikali anaoshirikiana na

Ttzo letu tunapenda upigaji na kupotezeana pesa na tukidaiwa tunaona jamaa anatuonea au kutubagua kutokana na ngozi na uwezo alionao......tujifunze uaminifu

Tatizo letu wabongo tunapenda Excuse, pili tunaona neno Msamaha ni neno rahisi Sana.

Tumezoea kuajiriwa na kuajiri Ndugu zetu alafu tukitia hasara tunaishia kusema Nisamehe au bahati Mbaya.
Sasa wengine hawanaga hayo mambo ya Msamaha au bahati mbaya
 
Una akili za kike kweli wewe. Sasa kama unajua hivyo na ni kidume si uende mahakamani.yaan unamtisha mtu na masaa. Mi nimekuletea nilichokiona kwenye group la wafanyabiashara kkoo. Unaniita chawa unanijua mkuu. We kama umekula hela za wanaume lipa mzee hilo la sheria au masaa unafikiri litabadili kitu. We toa hata masaa mawili lakin hakibadili ukweli hela ulichukua. Mimi kitu kama hii iliwah kunikuta jamaa kanikopa hela aongezee akachukue mzigo china. amerud kaniruka eti hatujaandikiana na sheria za nchi zinakataa sina kibali cha kukopesha. ***** zake .anajua nilichomfanyia na hela alileta baba yake. Wabongo ujinga utatumaliza. Hii dunia trust ndio kitu muhim kuliko chochote. Unaenda China mchina anakuamini anakupa mali kauli container mbili million Zaid ya mia 5. Hakujui hajawah kufika kwako na hamuandikishiani wewe unakuja unauza unakula cha juu. Sasa wengine wanapotea mazima. Lakin mwisho wa siku unapoteza trust na malengo bure kabisa wapuuz nyie. Unawaharibia wengine image kwa upuuz wako.

Ndivyo tulivyomkuu.

Ni ngumu Sana Kupata muafrika mwaminifu
 
kwangu mfanyabiashara ni kama akina Bhakheresa, hao wengine kama huyu anaetajwa hapa ni makanjanja watupu! huyu ni mhuni, dhulumati na mkwepa kodi mkibwa! Ndio maana anapenda sana kuwahonga viongozi njaa na wachumia tumbo na ndio maana anatamba kama atakavyo!

Sasa hapo tatizo ni la huyo Tajiri au viongozi wenu?
Embu tutumie mantiki Kidogo.

Waafrika tubadilike
 
🤔🤔🤔🤔Uchawi upo tangu kuumbwa kwa ulimwengu...refer vitabu vitakatifu

Sijakataa, nimesema hauna nguvu.
Kama ungekuwa na nguvu ninakuhakikishia pasingekuwa na dhulma au uonevu,

Ninawajua na wewe unawajua Watu wangapi wanadhulumiwa na kuonewa, wengine wanatoka koo zenye Uchawi lakini hakuna wanafanya Mbele ya Watawala au hao matajiri.

Nguvu ya Mwanadamu ni zaidi ya Uchawi.
Ndio maana Watu wametengeneza silaha kama bastola.
Kwenda kwa Sangoma utapoteza muda tuu.

Nguvu isiyoongopa ni kufanya mambo Physically, mwagia tindikali, piga RISASI, wekea sumu, hivyo yaani
 
Back
Top Bottom