Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Majini yatakutana na mjukuu wa chifu yamrudie mwenyewe
 

Huo Uchawi wa kukomba mboga ndio uwe na nguvu ya kukuzuia usidhulumiwe na kuonewa?

Nakuambia hivi kama Uchawi ungekuwa unanguvu basi Hii Tanzania wengi wangekuwa ni matajiri na pasingekuwa na kuoneana.

Sasa kama Uchawi nguvu yake inabagua sijui matajiri sijui Watawala hiyo tosha haikushtui kuwa Uchawi hauna Nguvu?

Lakini Kumpiga MTU RISASI au kummwagia tindikali madhara yake hayabagui wewe ni Tajiri au Mtawala wala nini.,

Kuamini Uchawi kwamba utamsaidia mtu ni kumdhulumu huyo mtu Haki zake.
Ndio maana nchi zilizoendelea wao wanachukua hatua kama maandamano, kuchapana Shaba n.k

Hao waarabu wenyewe wenye Majini waulize wakikutana na Mzungu nini kinatokea,
Mzungu atatumia sayansi ya teknolojia wao watumie Majini uone Nani anashinda hiyo mechi.

Ushauri wangu ni kuwa MTU akikuzingua mbinu ya kupambana naye ni Kwa Akili za binadamu na sio vinginevyo
 
Sa
saa 72 bado
 
We mwanangu una balahh

Ova
 
aiseeee ...mji huu mgumu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi mambo wazi wazi.

Una habari kinasa msukuma kaitwa obay central kisa kuwa kimahaba na comedian wa Kenya yule wa kiume anaigiza kike? Afu pia na hakika ruben

Nimeona hakika anasema alilala na kinasa kapewa 20 [emoji23][emoji23][emoji23] mi nilisema huu ukaribu karibu na mashoga tutasikia jambo na kweli,hivi kwanin mashoga huwa wamelendemka hakika nilijua tu ni shoga
 
Nakuona katika Moja na mbili

Katika ubora wako
 
Mwenyezi Mungu huisikia Dua ya mtu aliyezulumiwa hata kama huwa haswali,yaani wewe ukizulumia mpeleke tu mumba wako mashtaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…