Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Mwaga upupu huo basi mkuu Salah aanze kujikuna naona unatupa robo robo au unaogopa kutupiwa kifurushi cha majini? Tupe maneno mkuu usitunyime weka Mambo hadharani masaa 72 yamekwisha tayari na Salah kaendeleza utata wake kaweka ngumu hela hajakupa haya mwaga uozo tuuone,
Majini yatakutana na mjukuu wa chifu yamrudie mwenyewe
 
Nakwambiaje hujapata mchawi wa Ukweli.

Mwaka jana TBC ilirushaa Sana sakata la yule mama mstaafu kule Musoma,yule mama alinunua kiwanja chenye mgogoro kilichompata lilikuwa gumzo...Yule mama alikuwa akibandika mboga akifunua imeliwa,anabandika ubwabwa akifunua Kuna poohpoooh,Moto unaanza tu kuwaka kwenye magodoro Mara kwenye makochi,Mara watoto wanakutana na Simba na nyoka,yaani ilikuwa kizaazaa,yule mama alikuwa msabato walikuja kufanya maombi wasabato wenzie ikagonga mwamba,wakaletwa wa Pentecost wakatoka kapa!ikabidi mama na familia wahame
Hivyo Kama unaamini Mungu jua Uchawi upo!hao unaosema mbona wametoka familia za kichawi na wametapeliwa huwezi jua roho zao labda hawajaamua kulipa visasi..

Dunia iina Mambo kijana,ungesema kuwaroga matajiri Kama hao Ni changamoto kwa vile wao ndio magwiji wa huo uchawi wenyewe,wanakula dawa,wanakunywa dawa,wanaoga dawa,wanapaka dawa wanalalia dawa!

Huo Uchawi wa kukomba mboga ndio uwe na nguvu ya kukuzuia usidhulumiwe na kuonewa?

Nakuambia hivi kama Uchawi ungekuwa unanguvu basi Hii Tanzania wengi wangekuwa ni matajiri na pasingekuwa na kuoneana.

Sasa kama Uchawi nguvu yake inabagua sijui matajiri sijui Watawala hiyo tosha haikushtui kuwa Uchawi hauna Nguvu?

Lakini Kumpiga MTU RISASI au kummwagia tindikali madhara yake hayabagui wewe ni Tajiri au Mtawala wala nini.,

Kuamini Uchawi kwamba utamsaidia mtu ni kumdhulumu huyo mtu Haki zake.
Ndio maana nchi zilizoendelea wao wanachukua hatua kama maandamano, kuchapana Shaba n.k

Hao waarabu wenyewe wenye Majini waulize wakikutana na Mzungu nini kinatokea,
Mzungu atatumia sayansi ya teknolojia wao watumie Majini uone Nani anashinda hiyo mechi.

Ushauri wangu ni kuwa MTU akikuzingua mbinu ya kupambana naye ni Kwa Akili za binadamu na sio vinginevyo
 
Sa
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
saa 72 bado
 
Jux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??

Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.

Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
We mwanangu una balahh

Ova
 
Jux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??

Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.

Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
aiseeee ...mji huu mgumu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi mambo wazi wazi.

Una habari kinasa msukuma kaitwa obay central kisa kuwa kimahaba na comedian wa Kenya yule wa kiume anaigiza kike? Afu pia na hakika ruben

Nimeona hakika anasema alilala na kinasa kapewa 20 [emoji23][emoji23][emoji23] mi nilisema huu ukaribu karibu na mashoga tutasikia jambo na kweli,hivi kwanin mashoga huwa wamelendemka hakika nilijua tu ni shoga
 
Jux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??

Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.

Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
Nakuona katika Moja na mbili

Katika ubora wako
 
Niwakumbushe principle ya Kimungu, ukiamua kupambana na adui yako kwa njia zisizo za ki Mungu yeye hujitoa means zenu ziamue! Ila wote mtahukumiwa kwahilo labda toba iwaokoe.

Ila ukitumia njia ya Ki Mungu (kama injili inavyoelekeza juu ya adui) hukumu/kisasi kinakuwa juu ya Bwana! Hapo hata ufuge majini yote ya ulimwengu mzima utapigwa tu maana ni kisasi cha Bwana.

Usiombe umkosee mtu alafu akusamehe na kumuachia Mungu na awe mtu wa ibada! Utakutana na moto ukiwa hai.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mwenyezi Mungu huisikia Dua ya mtu aliyezulumiwa hata kama huwa haswali,yaani wewe ukizulumia mpeleke tu mumba wako mashtaka
 
Back
Top Bottom