mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Sawa sawaKiukweli kwenye business zangu nilikuwa nawaelewa sana jamaa,nilitamani someday nifikie level zao aisee.
Pambana maisha ni vita
Duniani full vurugu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaKiukweli kwenye business zangu nilikuwa nawaelewa sana jamaa,nilitamani someday nifikie level zao aisee.
Hatari sana aiseeSawa sawa
Pambana maisha ni vita
Duniani full vurugu
Ova
Basi sawa twende nayo sawa 😂Daah mimi nilichelewa nini mkuu mbona kwangu ni kama masaa 67 Net yaliyobaki...
Bashite si alikuwa ndiyo mmbabekesi Yao na ndugu bashite kuhusu plot iliishaje
Dah!.... wewe uko nyuma ya wakati.Hakuna nayeweza kuinunua mahakama mkuu sema itakuwa wote ni wapiga dili walizidiana ama wamedhulumiana. Mahakamani ukiwa na ushahdi mzuri unaoeleweka hakuna kinachoshindikana
AiseeeeeKwa leo sitaandika mengi.
Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.
Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.
Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.
Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.
Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.
Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.
Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.
Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.
Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.
Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Bashite kabaki na hati yake Feki wahuni wamebaki na kiwanja na hati yao ..kesi Yao na ndugu bashite kuhusu plot iliishaje
Teh tehWewe kama una ushahidi mwaga kila kitu hadharani. Huyo Salaah sidhani kama yuko hapa JF. Kama ni ukwepaji kodi hao wanafanya hadharani wala hawajifichi kwahiyo kwa kashfa hiyo tayari umefeli. Hakikisha kwenye masaa 72 unaandaa kashfa tofauti na hii na ya ukwepaji kodi. Hao kina Salaah wana kashfa nyingi chafu kiasi kwamba sijajua utakuja na jipya lipi... tusubiri
Hii ndo nchi yanguChuki zako binafsi tu na matajiri. Kama una ushahidi kwanini usiende mahakamani? huna mali anayoweza kuingangania salaa wala nini. Mwache stese hata nyie masikini wakati wa JPM mulijiona kama ma alst born wa Rais mukajipiga kifua na kujiita wanyonge na wazalendo
Mzee wa Kino hao Silent Ocean wameshashindikana. Hakuna mzigo ambao wanashindwa kupitisha bandarini. Agiza hata kemikali wao wanakuletea... kemikali huwa zina mambo mengi sana ili uweze kupitisha bandarini au boda lakini Silent kwao ni sawa kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo kkoo.Teh teh
Ova
Naelewa sana mamasamia2025,Mzee wa Kino hao Silent Ocean wameshashindikana. Hakuna mzigo ambao wanashindwa kupitisha bandarini. Agiza hata kemikali wao wanakuletea... kemikali huwa zina mambo mengi sana ili uweze kupitisha bandarini au boda lakini Silent kwao ni sawa kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo kkoo.
Mimi nachowapendea silent ocean ,huduma zao hazina longo longo , moja ya kampuni zenye huduma Bora kabisa , customer care iliyotukuka , wanatoa taarifa Kwa wakati , kama wanakwepa Kodi ili waendelee kutoa huduma Bora kwangu ni Sawa tuu, kuliko kutoa Kodi alafu hela zinachotwa na wahuni wachache .... Mnabaki kuwa na huduma mbovu....istoshe hii dunia imejaa dhuluma na uonevu kila Mahali na ushirikina uliotukukaWewe kama una ushahidi mwaga kila kitu hadharani. Huyo Salaah sidhani kama yuko hapa JF. Kama ni ukwepaji kodi hao wanafanya hadharani wala hawajifichi kwahiyo kwa kashfa hiyo tayari umefeli. Hakikisha kwenye masaa 72 unaandaa kashfa tofauti na hii na ya ukwepaji kodi. Hao kina Salaah wana kashfa nyingi chafu kiasi kwamba sijajua utakuja na jipya lipi... tusubiri
list ya matajiri Tanzania ni hao watu wa Asia .....asee wanaigeria wanajitambua Sana huwez ona huu ujinga and then mistreat patriots for over YearsBashite kabaki na hati yake Feki wahuni wamebaki na kiwanja na hati yao ..
Safi.... Lazima kielewekeMods tafadhari msitoe huu uzi, mwendelezo wake utakuwa na manufaa ya kufichua black market ya pesa inavyofanyika kariakoo na hawa jamaa. na ndio maana hatukusanyi kodi japo kuna Wilaya ya kikodi ya Kariakoo. Nyuma wako hawa jamaa.
Ukishakuwa na mamlaka majini yenyewe yanatulia😂 😂 😂 😂
Yule Mwamba nae atakuwa Mchawi sana maana kupambana na watu wenye majini sio kazi ndogo