Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Aiseeeee
 
Wewe kama una ushahidi mwaga kila kitu hadharani. Huyo Salaah sidhani kama yuko hapa JF. Kama ni ukwepaji kodi hao wanafanya hadharani wala hawajifichi kwahiyo kwa kashfa hiyo tayari umefeli. Hakikisha kwenye masaa 72 unaandaa kashfa tofauti na hii na ya ukwepaji kodi. Hao kina Salaah wana kashfa nyingi chafu kiasi kwamba sijajua utakuja na jipya lipi... tusubiri
 
Wewe kama una ushahidi mwaga kila kitu hadharani. Huyo Salaah sidhani kama yuko hapa JF. Kama ni ukwepaji kodi hao wanafanya hadharani wala hawajifichi kwahiyo kwa kashfa hiyo tayari umefeli. Hakikisha kwenye masaa 72 unaandaa kashfa tofauti na hii na ya ukwepaji kodi. Hao kina Salaah wana kashfa nyingi chafu kiasi kwamba sijajua utakuja na jipya lipi... tusubiri
Teh teh

Ova
 
Teh teh

Ova
Mzee wa Kino hao Silent Ocean wameshashindikana. Hakuna mzigo ambao wanashindwa kupitisha bandarini. Agiza hata kemikali wao wanakuletea... kemikali huwa zina mambo mengi sana ili uweze kupitisha bandarini au boda lakini Silent kwao ni sawa kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo kkoo.
 
Mzee wa Kino hao Silent Ocean wameshashindikana. Hakuna mzigo ambao wanashindwa kupitisha bandarini. Agiza hata kemikali wao wanakuletea... kemikali huwa zina mambo mengi sana ili uweze kupitisha bandarini au boda lakini Silent kwao ni sawa kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo kkoo.
Naelewa sana mamasamia2025,
Hawa tag yao kubwa sana

Ova
 
Wewe kama una ushahidi mwaga kila kitu hadharani. Huyo Salaah sidhani kama yuko hapa JF. Kama ni ukwepaji kodi hao wanafanya hadharani wala hawajifichi kwahiyo kwa kashfa hiyo tayari umefeli. Hakikisha kwenye masaa 72 unaandaa kashfa tofauti na hii na ya ukwepaji kodi. Hao kina Salaah wana kashfa nyingi chafu kiasi kwamba sijajua utakuja na jipya lipi... tusubiri
Mimi nachowapendea silent ocean ,huduma zao hazina longo longo , moja ya kampuni zenye huduma Bora kabisa , customer care iliyotukuka , wanatoa taarifa Kwa wakati , kama wanakwepa Kodi ili waendelee kutoa huduma Bora kwangu ni Sawa tuu, kuliko kutoa Kodi alafu hela zinachotwa na wahuni wachache .... Mnabaki kuwa na huduma mbovu....istoshe hii dunia imejaa dhuluma na uonevu kila Mahali na ushirikina uliotukuka
 
Back
Top Bottom