Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Wewe km nani? Wewe ni MUNGU? Una uhakika na unayoyasema? Watu wakimuamulia ataishika adabu yeye na ndugu zake na ukoo wake mzima, ana nini cha kuogogwa? km ni majini watatumwa wenye nguvu kuliko aliokua nao
Magufuli alijaribu akashindwa mwisho wa siku akatangulia akawaacha. Shida hamujui Silent ocean iko nyuma ya nani. Huo mnyororo umeanzia mbali sana. TRA walijaribu kidogo tu wale maafisa wote wakahamishwa
 
Subiri masaa 72 yapite kwanza jamaa amwage mboga hapa tuone hayo madudu yaliyojificha uko, mboni unaogopa kuchafuka kwake acha achafuke kwanza wengine tupate tahadhari tusije tukaingia mkenge km alioingia yeye
Bro mswahili ana habar gani mpya. Mi wala simzuii kumwaga mboga kwake Chief. Ila nimewasilisha hiyo sms kutoka kwa jukwaa flan kkoo. Ila ninachojua hata mtu mbaya vipi hawez kukufanyia ubaya kama hakuna kitu kati yenu kimetokea. Ngoja amwage tusubir na upande wa pili utajibuje.
 
Mimi nachowapendea silent ocean ,huduma zao hazina longo longo , moja ya kampuni zenye huduma Bora kabisa , customer care iliyotukuka , wanatoa taarifa Kwa wakati , kama wanakwepa Kodi ili waendelee kutoa huduma Bora kwangu ni Sawa tuu, kuliko kutoa Kodi alafu hela zinachotwa na wahuni wachache .... Mnabaki kuwa na huduma mbovu....istoshe hii dunia imejaa dhuluma na uonevu kila Mahali na ushirikina uliotukuka
Bila Silent Ocean biashara ni ngumu kinyama... ukiagiza mzigo sehemu ambayo Silent hawana ofisi ndo utajua hujui.
 
Ndugu zangu huyu Kijana anaye mshambulia boss anaitwa Eliud. Story yake inafahamika na Wafanyabiashara wengi hapa Kariakoo na yeye Boss Mwenyewe alikuwa muathirika wa Pesa alizochukua huyu Kijana.

Ni Mwaka Jana tu ELIUD Aliaminiwa Kukusanya pesa Kwa Wafanyabiashara wa Kariakoo ambapo alileta habari ya kupotea Kwa Pesa hizi zaidi ya Bilioni 6 na mpaka Leo hapaja patikana muafaka kutoka Kwake Jinsi ya kulipa Pesa hizo.

Kitendo anachofanya ni kumvunjia Heshima Mitandaoni Mtu ambae sisi tumefanya nae kazi Kwa UADILIFU na UAMINIFU Kwa muda mrefu wa zaidi ya Miaka 19 Sasa mbali na kipindi Hiki Kigumu Cha CORONA tulichopitia.

Nadhani mlie karibu nae Kwa Sasa tumshauri huyu dogo aende kwenye MAMLAKA ZA SERIKALI Ili kujenga hoja ya anachomdai badala ya kuchafuana kwenye Mitandao ambapo Inaweza kumgharimu iwapo Muhusika anayemchafua nae akifuata mkondo wa sheria.

Nchi yetu Hii inaendeshwa na Sheria. Vyema akajifunza kupata haki yake Kwa kutumia Njia sahihi kuliko kumchafua Mtu.
NImeitoa Mahali hebu tupe mrejesho wa hili kwanza mkuu. Maana imebid nimtafute Sallaah kwanza.
Asante sana chawa wa Salaah kuja kumtetea boss wako. Muhimu ni kuwa baada ya masaa 72 tutakutana hapa.

Sina mengi ya kueleza kwa sasa maana masaa bado yanazidi kupungua.

Kumbe anakusanyiwa pesa hadi mtu mmoja anamkusanyia bilioni 6? Kwa utaratibu upi wa sheria za fedha? Anazikusanya kutoka wapi? Masaa yanazidi kupungua. Wewe kachukue posho yako ya leo.
 
WaNigeria wale wa Boko haramu au wepi wale waliompa Kikongwe Urais mkuu au pana wanaigeria wengine mbona hao ni wachafu kuliko mataifa mengi Afrika..
Screenshot_20230307-201938_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom