Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Anawaondoa wao..Sasa anajiondoaje wakati yeye ndio ana majority of shares 😀😀😀 kwenye hizo biashara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawaondoa wao..Sasa anajiondoaje wakati yeye ndio ana majority of shares 😀😀😀 kwenye hizo biashara.
Unadhani serikali haijui haya yote?sijasema tume itakwenda kuwashughulikia bali itapata kujua udhaifu, mfano wa watu kama hao ambao ukienda kwenye vyombo vya kutoa haki wanakuambia kuwa huyu hagusiki tumepigiwa simu na wakubwa.
na wanasumbua sana, unaweza tamani uwaachie Nchi ukaishi hata ughaibuni.
Tindikali tuliambiwa alikula mke wa mtu,Leo mnasema dhulma
🤣🤣🤣🤣majini tena, Nimekumbuka story humuAlienda Kwa mganga akaambiwa Jamaaa wanamiliki majini hvyo hawawezi labda aendelee kuomba Mungu tuu au aende ki_hamza zaidi..😁😁😁😁
Matajiri wa kiarabu wengi wanafuga majini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]majini tena, Nimekumbuka story humu
Unajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.Hata kama nimepanic nakumabia ukweli ndio huo hakuna kitu chochote anachoweza kumfanya salaa sana sana yeye anaweza kufanywa. Kama alienda had central wakakataa kumfungulia amshtaka kwani wao ni wajinga? anaweza tu kuyatoa moyo wake uwe na amani ila hakuna chochote anachoweza kumfanya. Na hakuna kipya zaiid ya hivyo tunavyovijua na Seriakli inachojua
Unajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
Toa na wewe kama nanufaika n mm na familia yangu wewe haikuhusuUnajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
Naona ushapanic,pole kwa Boss wako kuguswa.Angalia usirushie ngumi walio karibu yako tu .Sisi tuna countdown ya masaa 72 [emoji5]Toa na wewe kama nanufaika n mm na familia yangu wewe haikuhusu
Hivi kwani yamebaki masaa mangapi?Naona ushapanic,pole kwa Boss wako kuguswa.Angalia usirushie ngumi walio karibu yako tu .Sisi tuna countdown ya masaa 72 [emoji5]
Jamaa kachachamaa mshipa umetoka utadhani ndio yeye Sasa hadi anatukana watu hehehehe!!Unajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
Ni kweli nimenusurika kugongwa na Lori la mchanga. Mungu ni mwema maana nilifanya maombi nikijua nachokwenda kupambana nachoKama namwona Salah ashaitisha mashekhe kadhaa wa albadir,saiv wako bize wanapiga visomo na kutuma majini ya kumsepesha mtoa uzi,alo mkuu,Mungu akulinde na akutetee🙏
Count tu familia inaweza Kupata chochoteNaona ushapanic,pole kwa Boss wako kuguswa.Angalia usirushie ngumi walio karibu yako tu .Sisi tuna countdown ya masaa 72 [emoji5]