Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hata kama nimepanic nakumabia ukweli ndio huo hakuna kitu chochote anachoweza kumfanya salaa sana sana yeye anaweza kufanywa. Kama alienda had central wakakataa kumfungulia amshtaka kwani wao ni wajinga? anaweza tu kuyatoa moyo wake uwe na amani ila hakuna chochote anachoweza kumfanya. Na hakuna kipya zaiid ya hivyo tunavyovijua na Seriakli inachojua
Unajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
 
Chawa promax huyo,anaishi daslam kwa kulamba maka.lio ya kina Salah et al 😅😅
Unajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
 
Unajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
Toa na wewe kama nanufaika n mm na familia yangu wewe haikuhusu
 
Unajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
Jamaa kachachamaa mshipa umetoka utadhani ndio yeye Sasa hadi anatukana watu hehehehe!!

Uchawa maandazi , ushabiki uchwara
 
Kama namwona Salah ashaitisha mashekhe kadhaa wa albadir,saiv wako bize wanapiga visomo na kutuma majini ya kumsepesha mtoa uzi,alo mkuu,Mungu akulinde na akutetee🙏
Ni kweli nimenusurika kugongwa na Lori la mchanga. Mungu ni mwema maana nilifanya maombi nikijua nachokwenda kupambana nacho
 
Back
Top Bottom