Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Sijakataa, nimesema hauna nguvu.
Kama ungekuwa na nguvu ninakuhakikishia pasingekuwa na dhulma au uonevu,

Ninawajua na wewe unawajua Watu wangapi wanadhulumiwa na kuonewa, wengine wanatoka koo zenye Uchawi lakini hakuna wanafanya Mbele ya Watawala au hao matajiri.

Nguvu ya Mwanadamu ni zaidi ya Uchawi.
Ndio maana Watu wametengeneza silaha kama bastola.
Kwenda kwa Sangoma utapoteza muda tuu.

Nguvu isiyoongopa ni kufanya mambo Physically, mwagia tindikali, piga RISASI, wekea sumu, hivyo yaani
Nakwambiaje hujapata mchawi wa Ukweli.

Mwaka jana TBC ilirushaa Sana sakata la yule mama mstaafu kule Musoma,yule mama alinunua kiwanja chenye mgogoro kilichompata lilikuwa gumzo...Yule mama alikuwa akibandika mboga akifunua imeliwa,anabandika ubwabwa akifunua Kuna poohpoooh,Moto unaanza tu kuwaka kwenye magodoro Mara kwenye makochi,Mara watoto wanakutana na Simba na nyoka,yaani ilikuwa kizaazaa,yule mama alikuwa msabato walikuja kufanya maombi wasabato wenzie ikagonga mwamba,wakaletwa wa Pentecost wakatoka kapa!ikabidi mama na familia wahame
Hivyo Kama unaamini Mungu jua Uchawi upo!hao unaosema mbona wametoka familia za kichawi na wametapeliwa huwezi jua roho zao labda hawajaamua kulipa visasi..

Dunia iina Mambo kijana,ungesema kuwaroga matajiri Kama hao Ni changamoto kwa vile wao ndio magwiji wa huo uchawi wenyewe,wanakula dawa,wanakunywa dawa,wanaoga dawa,wanapaka dawa wanalalia dawa!
 
Sasa hapa bongo unakuta ukoo una watu 1000, huwezi iunuanwote hao kwa kiwango hicho

Haujanielewa chief....Na maanisha Kwenye familia moja ya baba na mama na watoto wao utakuta mtoto mmoja tajiri sana na watoto wengine masikini wa kutupwa baba mmoja mama mmoja.

Hii ni tofauti sana kwa hawa waarabu yaani wanainuana sana mmoja kwenye familia akitoka nahakikisha na wadogo zake nao wanachomoka yaani kuanzia first born hadi last born.
 
Hao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Sasa nazidi kuamini ni ngumu sana kwa tajiri kuuona ufalme wa Mungu. Kwa akili za wazungu naona kabisa iko miaka mbeleni huko watakuja kusema huu mfumo wa Capitalism ni kinyume na haki za binaadamu kwahio tuachane nao 😀😀😀
 
Ila hawa jamaa mbona wanaonekana waungwana sana? Unaweza kusoma comment ukabakia mdomo wazi. Mfano Gharib, anaonekana mpole na asiye na makuu.



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu matajiri wengi huwa ni ma mafia. Ukiachana na wale waliorithi utajiri kama style ya MO vile walau ndio unaweza kuta mtu ni muungwana ila wachache sana.
 
Sasa wewe na huyo Sallah mna tofauti gani? Nyinyi wote ni vibaka mnaostahili adhabu hasa wewe uliyejitokeza hapa.
Unajua maovu na unyama wa huyo mwenzako ila unataka kutoa mashariti ili usianike uovu wake. Wewe unastahili kuchapwa makofi kabisa utie adabu, Taja uovu wa Sallah hapa bila kusubiria kijana wako alipwe kama kweli wewe sio miongoni mwa hayo magenge ya uhalifu.
 
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Aiseee
 
Mo ni tajiri kuwashinda hata Messi na Ronaldo wakiwa pamoja.

Utajiri wa MO hata siuoni upo sehemu gani ,SSB ana vitu vya maana halafu eti anacheza around 600-900m US$ wakati Tapeli MO ana mashamba ya katani aliyopora ,viwanda vya maji/juice/vibiriti/tambi alafu forbes wanasema ana usd 1.5B ,Uongo mtupu.(In Mzee mpili voice)
 
Back
Top Bottom