Salaam za Eid El-Fitr 2020


Tuko sawa na Kalenda hii

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 

Bismillah Rahman Rahim

Baada ya kumaliza kwa salama Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia Heri ya Sikukuu Wanachadema wote pamoja na wapenda haki wote popote mlipo duniani, nawatakia Sherehe njema ya Staha pamoja na baraka tele.

Ikiwa mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi, niwaombe sana muwe na umoja na mshikamano, msikubali kuyumbishwa na wachovu, waoga walioishiwa hoja, wapiga kura ni wananchi ambao wako pamoja nanyi kwa 100%.

Maandiko Matakatifu yanaelekeza kwamba Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri.

Wabillah Tawfiq

NO HATE NO FEAR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…