Boss Smart
Member
- Apr 10, 2020
- 56
- 63
لعدين من الفائزين، تقبل الله منا ومنكم الصالها الاعمال.
No Hate No Fear!
Bismillah Rahman Rahim
Baada ya kumaliza kwa salama Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia Heri ya Sikukuu Wanachadema wote pamoja na wapenda haki wote popote mlipo duniani, nawatakia Sherehe njema ya Staha pamoja na baraka tele.
Ikiwa mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi, niwaombe sana muwe na umoja na mshikamano, msikubali kuyumbishwa na wachovu, waoga walioishiwa hoja, wapiga kura ni wananchi ambao wako pamoja nanyi kwa 100%.
Maandiko Matakatifu yanaelekeza kwamba Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri.
Wabillah Tawfiq
NO HATE NO FEAR
No Hate No Fear!
Bismillah Rahman Rahim
Baada ya kumaliza kwa salama Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia Heri ya Sikukuu Wanachadema wote pamoja na wapenda haki wote popote mlipo duniani, nawatakia Sherehe njema ya Staha pamoja na baraka tele.
Ikiwa mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi, niwaombe sana muwe na umoja na mshikamano, msikubali kuyumbishwa na wachovu, waoga walioishiwa hoja, wapiga kura ni wananchi ambao wako pamoja nanyi kwa 100%.
Maandiko Matakatifu yanaelekeza kwamba Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri.
Wabillah Tawfiq
NO HATE NO FEAR
Jaman kesho Ni idd pili au mwendo wa ofisiniOooh thanks Pat💕💕
Uwe na sikukuu njema pia
Taqaballa llahu minnaa wa minkum
Taqaballa llahu minnaa wa minkum
Ahsanteee saaaaaana DepalSalaam zangu za Eid zikufikie rafiki Relief Mirzska
Leo pia chereko chereko😀😀Jaman kesho Ni idd pili au mwendo wa ofisini
Mimi tokea ijumaa nilitafuta mweI sikuuona,nikasikilizia BASUTA wakasema hawajathibitisha kuuona mwezi.
Mwezi umeonekana Kashimil India sasa sijajua wale wa mwezi wa kimataifa kesho watakula idi au watawasubiria Saudi jumapiliView attachment 1456897
View attachment 1458198