Salaam za Eid El-Fitr 2020

Salaam za Eid El-Fitr 2020


Bismillah Rahman Rahim

Baada ya kumaliza kwa salama Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia Heri ya Sikukuu Wanachadema wote pamoja na wapenda haki wote popote mlipo duniani, nawatakia Sherehe njema ya Staha pamoja na baraka tele.

Ikiwa mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi, niwaombe sana muwe na umoja na mshikamano, msikubali kuyumbishwa na wachovu, waoga walioishiwa hoja, wapiga kura ni wananchi ambao wako pamoja nanyi kwa 100%.

Maandiko Matakatifu yanaelekeza kwamba Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri.

Wabillah Tawfiq

NO HATE NO FEAR
No Hate No Fear!
 

Bismillah Rahman Rahim

Baada ya kumaliza kwa salama Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia Heri ya Sikukuu Wanachadema wote pamoja na wapenda haki wote popote mlipo duniani, nawatakia Sherehe njema ya Staha pamoja na baraka tele.

Ikiwa mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi, niwaombe sana muwe na umoja na mshikamano, msikubali kuyumbishwa na wachovu, waoga walioishiwa hoja, wapiga kura ni wananchi ambao wako pamoja nanyi kwa 100%.

Maandiko Matakatifu yanaelekeza kwamba Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri.

Wabillah Tawfiq

NO HATE NO FEAR
No Hate No Fear!
 


Mwezi umeonekana Kashimil India sasa sijajua wale wa mwezi wa kimataifa kesho watakula idi au watawasubiria Saudi jumapiliView attachment 1456897

View attachment 1458198

Mimi tokea ijumaa nilitafuta mweI sikuuona,nikasikilizia BASUTA wakasema hawajathibitisha kuuona mwezi.

Nikaskia taarifa za watu tu kuwa umeonekana huku na kule,nikasema sifungui mpaka taasisi itangaze.
Moaka muda wa kula daku BASUTA hawajatangaza chochote kile nikala daku kwa nia ya ramadhaani.

Asubuhi wakatangaza na kuthibitisha kuwa umeoneka.nikanywa maji nikasali eid nyumbani kwangu na femili yangu.

Ile mentality ya kuwa tunafata saudia itoeni kwa sababu saudia wamwsali jpili idi na basuta wametangaza eid jmosi,hawakujali saudia imekuwaje wala nini.

Na huo ndio uadilifu wa basuta katika kuutafuta mwezi,wanazithibitisha taarifa ziwe za uhakika kisha ndo wanatangaza.

Katika kila hali sisi ambao tumefungua jmosi tuko tofauti na saudia na wala hilo halishughulishi.kwa sababu kufunga nabkufungua ni eidha uonekane mwezi au zitimie thelathini kamili.

Naam
 
Back
Top Bottom