Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

ni kweli kabisa,hapa umechambua vizuri sana
 
Lil Ommy tukimpambanisha na DJ Fetty unasemaje kuhusu hilo? atakua kapata mtu sahihi wa kushndanishwa nae?
 
Mkuu lil ommy ni something else , ana radha yake ya maswali tofauti kabisa na watangazaji wengine. Sio kwamba amemzidi salama, hapana.. ila amekuja kitofauti sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mzazi anaweza akakukuta unasikiliza redio akitangaza salama au millard akakuacha,ila akikukuta unamsikiliza LIL OMMY redio itazimwa hapo hapo utaambiwa ondoka kafanye mambo mengine,unaweza nisaidia kuniambia ni kwann redio haikuzimwa wakati nikiwaskiliza millard na salama ila LIL OMMY redio inazimwa?
 

Sijacomment kuegemea preferences zangu binafsi ila UHALISIA

Pia kama unadhani numbers ndio kila kitu katika ubora wa kitu then hujui kitu kinaitwa marketing, branding and promotion..

Makampuni ya mitandao ya simu yaliishit Nigeria kwa kuangalia data za kiwango cha umaskini ila Mnet waliangalia consumers pattern which is qualitative na wakafanya investment ambayo imewafikisha mbali...

Hayo mambo ya numbers ni assurance katika maamuzi ila sio final
 
Salama J all day everyday....Ana taste flani hivi ya tofauti ukiongezea na kale kalafudhi Cha Zanzibar...
She knows how to the interview lovely and lively
 
Kwangu Salama ni best kabisa na bado sijaona Wakumfananisha nae, She is charismatic and talented, yuko well organised and focused, Millard is overrated
 
Masoud Kipanya nae Yuko Vizuri Kwenye interview na wanasiasa, nakumbuka Prof. Lipumba alibanwa mbavu hadi Kupumua halishindwa. Kila wakati anaomba Maji.. Ilikuwa issue ile Mgogoro wake na Mwalim seif kuhusu kujitoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sana sana huyo jamaa ni Yupo makini? Ana elimu gani masoud yupo updated sana
 
Masoud Kipanya nae Yuko Vizuri Kwenye interview na wanasiasa, nakumbuka Prof. Lipumba alibanwa mbavu hadi Kupumua halishindwa. Kila wakati anaomba Maji.. Ilikuwa issue ile Mgogoro wake na Mwalim seif kuhusu kujitoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa umetoka nje ya mada lakini nakuunga mkono, prof aliminywa hadi nikaanza kupata mashaka na uprof wake, zaidi na zaidi nikaona prof anafanya wasomi wa kiislam waonekane hovyo nashukuru prof Assad akatuokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…