Martin Kemosabe
Senior Member
- Jan 28, 2020
- 168
- 78
- Thread starter
-
- #101
ni kweli kabisa,hapa umechambua vizuri sanaEnergy (vibe) + detail oriented (kitu ambacho presenters wengi hawana) = lil ommy
Sikiliza interview za lil ommy nyingi utaona flow ni ya details na mostly ni vitu mtu alipost kwenye insta au twitter account ..
Kiufupi hana diversity sana kwenye maswali na hii humfanya kuwa less flexible ndo maana akikutana na mgeni ambaye yupo nje ya entertainment industry huwa anastruggle sana kuendana nao
Inshort lil ommy hana same weight na salama
Lil Ommy tukimpambanisha na DJ Fetty unasemaje kuhusu hilo? atakua kapata mtu sahihi wa kushndanishwa nae?Halafu usisahau kuwa lil ommy na millard ni vitu viwili tofauti...
Millard ana utangazaji wake upo very calm ambao unaendana na content pamoja na personality yake. Hii inamfanya kusikilizwa na rika karibia zote
Lil ommy utangazaji wake una vibe na upo relevant zaidi kwa rika la vijana maana ndo content wanazopenda
Hapo ushajua mshindi nani japo lil ommy namkubali maana kuwin audience kwenye era ya millard .alifanya kazi
mkuu wewe utakua mtu wa kanda ya ziwa
msamehe bureAbeee, yote hayo ya natoka wapi?
Ulipata Malezi mabaya sana utotoni
tena kwa KO
LIL OMMY vs DJ FETTY hapo nadhani ndio tupate mpambano
Mzazi anaweza akakukuta unasikiliza redio akitangaza salama au millard akakuacha,ila akikukuta unamsikiliza LIL OMMY redio itazimwa hapo hapo utaambiwa ondoka kafanye mambo mengine,unaweza nisaidia kuniambia ni kwann redio haikuzimwa wakati nikiwaskiliza millard na salama ila LIL OMMY redio inazimwa?Mkuu lil ommy ni something else , ana radha yake ya maswali tofauti kabisa na watangazaji wengine. Sio kwamba amemzidi salama, hapana.. ila amekuja kitofauti sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
bwana bwana weeeam sure for that😎😎😎
sidhani kama kuna anaeweza kubishaSalama anam'copy kila kitu Role model wake Elen wa The Elen show,,Hadi u'tom boy,,sema hakuna mtangazaji mkubwa duniani kama Elen..
niamini mimi anachofanya millard hata ww ukitrainiwa u can do itSichoki kumsikiliza salama Japo millard nae tatizo yule kaka
MAFANIKIO NA UBORA VITU SAWA, KIPIMO NI NAMBA, HAIEPUKIKI.
Ubora na mafanikio ni vitu pacha kijana embu elewa vizuri, tena mafanikio ni kipimo cha ubora fuatilia mifano dhahiri ifuatayo;
Mathalani, akitajwa mwanafunzi bora kitaaluma, basi atakae simama dhidi ya wengine ni yule aliyepiga hatua (hapa namba haiepukiki), anaweza akawa ndiye aliongoza darasani ama anafanya vizuri mtaani yaani ana mafanikio fulani na haya yanatathiminiwa kwa namba, yumkini ana fedha nyingi ama ameibua wanataaluma wengi ktk fani fulani n.k (nasisitiza hisabati na namba haziepukiki).
Ukitaja mchezaji bora, basi yumkini utaangalia idadi ya magoli na ni ishara ya mafanikio yake (namba haiepukiki).
Ukitafuta msanii bora, basi utaangalia kiasi ama idadi ya mfanikio mfano, je ana nyimbo kubwa zilizobamba yaani hit song ngapi? ama ameuza nakala ngapi? kwa wenzetu wana viwango mfano ukifikia idadi ya nakala kadhaa basi mauzo yako ama yatakuwa na hadhi ya platinum, gold n.k (namba haipekuki).
Ukitaka kulinganisha mtangazaji bora dhidi ya mwingine, ktk kutafuta nani ana kitu bora zaidi ya mwingine bila shaka utaangalia wingi wa sifa nzuri kisha utahitimisha nani bora zaidi ya mwingine na tukitaja wingi na uchache basi (namba haiepukiki).
Yatosha kusema, yawezekana hupendi namba ama huziwezi lakini haziepukiki ndo mzani wa tafiti ama hoja iliyofanyiwa tafiti inakuja na facts and figures sio maneno maneno tu.
Umeona eeh!?sidhani kama kuna anaeweza kubisha
Ukaamua upige na kingleza kabisa kuonyesha msisitizosalama is genius
born talented she has own interview skills and style
its all about uniqueness
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana sana huyo jamaa ni Yupo makini? Ana elimu gani masoud yupo updated sanaMasoud Kipanya nae Yuko Vizuri Kwenye interview na wanasiasa, nakumbuka Prof. Lipumba alibanwa mbavu hadi Kupumua halishindwa. Kila wakati anaomba Maji.. Ilikuwa issue ile Mgogoro wake na Mwalim seif kuhusu kujitoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa umetoka nje ya mada lakini nakuunga mkono, prof aliminywa hadi nikaanza kupata mashaka na uprof wake, zaidi na zaidi nikaona prof anafanya wasomi wa kiislam waonekane hovyo nashukuru prof Assad akatuokoaMasoud Kipanya nae Yuko Vizuri Kwenye interview na wanasiasa, nakumbuka Prof. Lipumba alibanwa mbavu hadi Kupumua halishindwa. Kila wakati anaomba Maji.. Ilikuwa issue ile Mgogoro wake na Mwalim seif kuhusu kujitoa
Sent using Jamii Forums mobile app