Salamu kutoka kwa member mwenzetu leejay49 "Yupo salama anaendelea vizuri"

Daaah mkuuu kuna kitu umekisiriba apooo kwenye screenshot aiseee leejay ni shemu au??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anyway nimefurahi kusikia yupo salama na anaendelea vizuri mungu amsaidie apone kabisa
Hapana mzee
Amina ila hiyo banner sijaiona vp huwezi forwad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…