Hali hii ikikomaa sana, huweza kudhibiti idara nyeti za serikali, kupata uwaziri na hata urais.
Umeharibu ulipomtaja MAGU. Huwezi changia mada hadi ufananishe na mtu aliyekwisha rejea mbele ya Mola wake???Passpot ya Tz inatakiwa sana na nchi nyingi za africa kwa kuwa ina free visa nchi nyingi watu wengi wanafanya uhalifu halafu wakikamatwa wanaonekana wanatoka Tz lkn kiuhalisia si Tz mzee Magu kajitahd sana kuwaondoa hawa lkn sasa wanarudi tena upyaaa....
Hili wazo hata mimi huwa naliwaza sana,tusingekuwa na kesi za watumishi hewa wala nini kila kitu kinakuwa hewani,Ahsante kwa hoja ILA kama wengi wetu huwa tunalaumu tulikoangukia SIO kujikwaa,solution hapa ni LAZIMA tuanze upya kabisa,na tuanzie na watoto wanaozaliwa,mara mtoto anapozaliwa mzazi/wazazi wanampa jina na serikali PIA lazima impe jina(ID number)hii number ataishi nayo na kufa nayo,na number hii inakua kwenye system's ya nchi na ambayo inaongea nchi nzima.Mtoto huyu anapofikia 16yrs ni LAZIMA aombe id book na kitabu hiki ndicho popote anapokwenda ndio utambulisho wake,anapoamua kuomba passport unahitaji ID book/card only,immigration officer akipachi id number yako informations zako zote zinakuwepo pale,within 5working day's unapewa passport yako,kinyume cha hapa ni utapeli na tutalalama sana.Happy new year!!
Siku za nyuma kidogo kuna watu walikamatwa Syria kama wapiganaji wa ISIS wakiwa na passport za Tanzania. Ikasababisha Tanzania kuwekwa kwenye kitabu cheusi cha Ugaidi Marekani. Baadaye ikaja gundulika kuwa jamaa wale walikuwa wasomali na wala hawajawahi kuishi Tanzania.Passpot ya Tz inatakiwa sana na nchi nyingi za africa kwa kuwa ina free visa nchi nyingi watu wengi wanafanya uhalifu halafu wakikamatwa wanaonekana wanatoka Tz lkn kiuhalisia si Tz mzee Magu kajitahd sana kuwaondoa hawa lkn sasa wanarudi tena upyaaa....
This statement is debatable by Makamba (2021).Sometime leaders are made and not born
Hata Mandela na ANC wenzake wa MK ambao Nyerere aliwapa paspoti za Tanzania waliwahi kuwekwa kwenye hicho kitabu cha ugaidi Marekani. Lakini mpaka leo mnajivunia wale magaidi wa Afrika Kusini kutumia paspoti za Tanzania. Waarabu au Waislamu wakipewa paspoti za Tanzania mnapiga kelele mnaona jina la nchi linachafuliwa. Ubaguzi na udini umewajaa hamna jipya.Siku za nyuma kidogo kuna watu walikamatwa Syria kama wapiganaji wa ISIS wakiwa na passport za Tanzania. Ikasababisha Tanzania kuwekwa kwenye kitabu cheusi cha Ugaidi Marekani. Baadaye ikaja gundulika kuwa jamaa wale walikuwa wasomali na wala hawajawahi kuishi Tanzania.
Umetoka kilabu gani; inabidi uwaambie wakurudishe pesa yako kwani makarapusi uliyokunywa yameharibu ubongo wako.Hata Mandela na ANC wenzake wa MK ambao Nyerere aliwapa paspoti za Tanzania waliwahi kuwekwa kwenye hicho kitabu cha ugaidi Marekani. Lakini mpaka leo mnajivunia wale magaidi wa Afrika Kusini kutumia paspoti za Tanzania. Waarabu au Waislamu wakipewa paspoti za Tanzania mnapiga kelele mnaona jina la nchi linachafuliwa. Ubaguzi na udini umewajaa hamna jipya.
Na nchi rahisi kufanya magumashi hayo Africa ni hapa kwetu tu,Hili nakubaliana na wewe kabisa, wa Kenya na wasomali wanaongoza kupata pasport za Tanzania kirahisi, ili hali mtanzania ulihitaji pasport utaanza unaambiwa kalete cheti cha kuzaliwa cha babu na bibi yako.
Vipi ukweli unauma? Sijasema uongo lakiniUmetoka kilabu gani; inabidi uwaambie wakurudishe pesa yako kwani makarapusi uliyokunywa yameharibu ubongo wako.
Yet throughout his life, Mandela had a habit of saying that he was “not a saint,” as TIME noted in his 2013 obituary. Perhaps more surprisingly from today’s perspective, many people around the world felt the same way. In fact, Mandela remained on U.S. terrorist watch lists until 2008.
Uliyoandika hayana uhusiano wowote na mada hii; badala yake wewe umeiweka kidini. Ndiyo maana ninaamini kuwa akili yako imeharibiwa kidogo. Wagombea uhuru kupewa diplomatic passport na serikali ya tanzania wakati huo kwa vile wasingezipata nchini mwao, haina uhusiano kabisa na wasomalia kuwa na passport za Tanzania ambazo hata haijulikani walipata kwa kigezo gani.Vipi ukweli unauma? Sijasema uongo lakini
The U.S. Government Had Nelson Mandela on Terrorist Watch Lists Until 2008. Here’s Why
On the centennial of Nelson Mandela's birth, he is remembered as a symbol of peace—but he was on the U.S. terror watch list until 2008time.com