- Thread starter
- #21
navyo mjua SSH, kwa msg hizi wiki nzima atajifungia analia………………… ni mwepesi kuliko kilo sufu
Taabu yote ya nini? Kwani mzizi wote wa fitina haujui?
Si ni kutenda haki na kwa usawa, akawapa watu uhuru wao na ya wengi akayaridhia?
Kwa hayo tu, si misuguano yote ingekwisha na mi5 mingine ya haki ingemhusu.
Angalia aliko sasa. Mwache avune dengu anazopanda.