Salamu kwa Tutu zinapowaamsha watema Nyongo

Salamu kwa Tutu zinapowaamsha watema Nyongo

Vipi kuhusu viongozi serikalini, hao wapo?

Vipi kuhusu jeshi la polisi, nalo je lipo?

Vipi mahakama, tume ya uchaguzi, bunge nk?

Vipi haki, usawa, Uhuru au demokrasia? Vipo?

Uungaji wetu mkono kwa wanaojitokeza uko je? Si kuwa yakimkuta aliyetangulia tuliobaki tunaingia mitini?

Si kuwa wala matunda wapo ila si watafuta matunda?

Ninakazia: Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu
Screenshot_20211228-020349.png

Hiyo courage ya Tutu ya mwaka 1985 haipo hapa Tanzania.
 
Ikulu yetu hawajui the late Tutu official title yake ni Archbishop or more precisely Archbishop Emeritus na sio just Bishop? Kila siku tunatamka Askofu Mkuu Desmond Tutu haieleweki? Diplomasia yetu inayumba sometimes ... u-Bishop aliuacha miaka mingi sana. Mama amepotoshwa tena ...
Itasemwa
Kiongozi wetu sio Mkristu
Kama ilivyo geuzwa BBC
Mbowe Gaidi kuwa Mbowe hana Adabu
 
Awe Archbishop Emeritus au Archbishop au Bishop everything is irrelevant anapokuwa nyama ya udongo. Hizo titles sawa na utajiri zinabaki hazina maana kwa kuwa wanadamu wote uhai ukishatoka kinachobaki ni cheo kimoja; marehemu au maiti.

Wakosoaji wa SAMIA mtaumiza sana vichwa kutafuta dosari, ila Mama anaupiga mwingi japo hamumkubali mdomoni lakini rohoni mnamkubali
Kwa watu wa protocol na diplomasia hii ni fatal mistake.

Duh, Kama nchi, ni aibu Kiana. Hii inaonyesha jinsi ambavo hatupo serious pia kwenye Mambo mengine.
 
Awe Archbishop Emeritus au Archbishop au Bishop everything is irrelevant anapokuwa nyama ya udongo. Hizo titles sawa na utajiri zinabaki hazina maana kwa kuwa wanadamu wote uhai ukishatoka kinachobaki ni cheo kimoja; marehemu au maiti.

Wakosoaji wa SAMIA mtaumiza sana vichwa kutafuta dosari, ila Mama anaupiga mwingi japo hamumkubali mdomoni lakini rohoni mnamkubali
You're still acting like a kid!
 
Unge sikiliza maneno na busara za Robert Mugabe, ungejua kuwa Archbishop Desmond Tutu hakuwa shujaa wa Africa.

Ungesikiliza maneno ya busara ya Desmond Tutu ungetambua kuwa kuwa Mugabe alikuwa "kibonzo:"

"a cartoon figure of an archetypical African dictator". Mugabe, in turn, described Tutu as "evil"."

"No wonder" ni kutambua ukiwamo ukweli huo hata Samia alituma rambi rambi rambi rambi zake wakati dunia ikimlilia kwa dhati mwana halisi huyu wa ulimwengu:

IMG_20211227_112632_748.jpg


Wa maana uwe wewe au Mugabe zaidi ya Tutu? Ni zaidi ya kuota ndoto za mchana.

Hiiiiii bagosha!
 
View attachment 2060003
Hiyo courage ya Tutu ya mwaka 1985 haipo hapa Tanzania.

Courage siyo kuwa alikuwa nayo Tutu peke yake. Courage inaletwa na support (base).

Angalia huku kwetu:

Chadema, tunayo ya kujifunza kwa Askofu Tutu

Hata kuunga mkono wanaounga mkono tunayoyasimamia ni kigugumizi.

Kwetu akilianzisha mtu hayupo wa kuunga mkono hata kwa matamko tu.

Kwetu akilianzisha mtu wengine wanakuwa wapenzi watazamaji kuona litakwisha je.

Kwetu akilianzisha mtu inakuwa ale tu na wa kwao.

Atafanya nani nini kwenye hali kama hizi?
 
Itasemwa
Kiongozi wetu sio Mkristu
Kama ilivyo geuzwa BBC
Mbowe Gaidi kuwa Mbowe hana Adabu
... Ikulu kumejaaa wataalamu wa kila idara, fani, n.k. Kujua proper ways to address people; specifically diplomats, ni basic communication skills! Her Majesty; Your Highness; Her Excellence; etc. Hebu kwa mfano Her Majesty the Queen um-address Your Honorable kama hujazua mengine dunani. Tunachosema hapa kosa sio kosa bali kulirudia, Ikulu wamshauri vizuri Mh maana tweets zake ni kauli rasmi ya Serikali na sio yake mwenyewe.
 
... Ikulu kumejaaa wataalamu wa kila idara, fani, n.k. Kujua proper ways to address people; specifically diplomats, ni basic communication skills! Her Majesty; Your Highness; Her Excellence; etc. Hebu kwa mfano Her Majesty the Queen um-address Your Honorable kama hujazua mengine dunani. Tunachosema hapa kosa sio kosa bali kulirudia, Ikulu wamshauri vizuri Mh maana tweets zake ni kauli rasmi ya Serikali na sio yake mwenyewe.

Haina shida mkuu hata bwana Evarist Ndayishimiye alimu address mama kama Mr. President.

Ngoja tuimarishe uchumi kwanza. Tuko vizuri.
 
Kwa watu wa protocol na diplomasia hii ni fatal mistake.

Duh, Kama nchi, ni aibu Kiana. Hii inaonyesha jinsi ambavo hatupo serious pia kwenye Mambo mengine.
Vitu vya kipuuzi sana hivyo naona mnavishiia bango. Akina Obama walikuwa Maprofesa wa vyuo lakini hata siku moja nomenclature haijawahi kuwa kitu
 
Vitu vya kipuuzi sana hivyo naona mnavishiia bango. Akina Obama walikuwa Maprofesa wa vyuo lakini hata siku moja nomenclature haijawahi kuwa kitu

Ungeachana na kina Obama mabeberu hao. Wapo kina Ndayishimiye wangekusaidia tu kukazia hoja zako.
 
Back
Top Bottom