Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sawa mnyonge wa jpm...sasa hv hatutak wanyonge kutuchuria tu .ukijiona bado unaPenda kuitwa mnyonge bora mhamie CHATOOOOOO👹👺👻✌✌Wosia wa Rais wa awamu ya tano huo
✌👍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mnyonge wa jpm...sasa hv hatutak wanyonge kutuchuria tu .ukijiona bado unaPenda kuitwa mnyonge bora mhamie CHATOOOOOO👹👺👻✌✌Wosia wa Rais wa awamu ya tano huo
✌👍
Makanisa ya gwajima huwezi kuitumia ila makanisa ambayo yapo Egypt. Iraq na uarabuni wanaitumia kwa sababu ni lugha yao.Hiyo ni sakaam ya kiislam acheni ubishi japo ina maana nzuri.huwezi kuitumia kanisani.ni sawa na kusena bwana asifiwe msikitini utakuwa wa ajabu.kwenye nchi ya dini kama hizi tuachane na hizo salaam za kidini au tutumie zote
Ila mibongo mnazozaaaaa mnazozaaaaa mnooooo.Wanabodi siku ya uapisho wa Katibu Mkuu Kiongozi ndugu katanga kuna jambo lilitokea, Bwana katanga alisalimu Raia kwa lugha moja tu ya dini ya kiislamu yaani Salaam Allahkum na akaendelea na hotuba yake,
Ikumbukwe pale kuna makundi mengi
Mama Samia aligundua kundi kubwa halijaridhika na ile Salamu Yeye akasalimia kwa Salamu mpya yaani"Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ni maoni yangu tu bora kama mtu anaona kusalimia kwa lugha za dini ni kero basi atumie" Habari zenu wananchi"
Wanasiasa wanasalimia kwa lugha zote ili kuleta umoja, Sasa ukisalimia kwa imani yako tu hii itagusa watu fulani tu
Nakupongeza sana Mama Samia kwa kuliona hilo na kulirekebisha pale pale kuna ujumbe umetuma kwa huyo msaidizi wako
Nakwambia kwa Kweli. Wajinga nchi hii wako wengi sana . Hawajui hata hao waarabu wapo wakristo, waislamu na hata wasio dini na wote wakisalimiana wanatumia salamu iyoiyo.
😀😀😀
Kabebaje uislamu??? Kwanza embu google maana ya As-Salaam alyakum alafu rudi hapa useme kama ni salamu ya kiislamu au la???Mama yetu ameanza vibaya. Namfuatilia sana. Kabeba sana Uislam na Uzanzibar. Sijui kama tutafika.
Hahahaaa wejamaa bora umesema ukweli mkuu, daah msema kweli mpenzi wa...........mara nyingi tu ila kwa bahati mbaya, natamani kuacha lakini nashindwa
Taarabu ikipigwa ikulu ni udini..??Udini utarudi kwa kasi ya 4G .taarabu kupigwa ikulu nk
Matusi yanakujaje hapa we mwehu? Mataga kwa lipi? Mmeendekeza dini hadi mnajisahau kama wengine wapo. NyambafKwani unajua maana ya salamu aliyoitoa katanga ni nini????
Kwa akili zenu mfu mnadhani salamu ya Katanga ni ya kidini??? Kweli hili taifa bado sana na ndo mana Mwendazake aliweza kuwa brainwash.
Salamu aliyotoa katanga simply means Amani iwe nawe, ni sawa na myahudi akikwambia Shalom. Zote zinamaanisha Amani iwe nawe.
kuna clip Jenerali ulimwengu amelielezea Hilo itafute uelimike mataga wewe!
Most of hawa waimba kwaya hudhan kama mtu alisema Asalaam aleykum basi ni uislam umeingia,hiyo ni lugha tu ya kiarabu,infact hata christian arabs huitumia salam hiyo katika hadhira zao,ni kukosa elimu na exposure kunawajengea uzuzu wa kias kikubwa Kama hiko
Kwanini watanzania tusalimiane kwa lugha za kiarabu au kiyahudi ktk shughuli za kitaifa, kisiasa n.k.?Udini gani??? Hivi Unajua maana ya salamu aliyotoa Katanga ni nini???
Kwa akili yako wewe ulivyoaminishwa kuwa ni salamu ya kidini basi unataka hata sie tunaojielewa tuione kuwa ni ya kidini wakati sio??? Acheni ujinga wenu
Salaam Allahkum Kama inavyotamkwa simply inamaanisha amani iwe nawe.
Na kuna wengine hawana dini pia, au hawaamini kabisa uwepo wa Mungu.Na waumini wa dini za Afrika mbona hawapo kwenye salam
Nani ameendekeza dini??? Kivipi???Matusi yanakujaje hapa we mwehu? Mataga kwa lipi? Mmeendekeza dini hadi mnajisahau kama wengine wapo. Nyambaf
Chato ni Tanzania na nitahamia kumuenzi Dr John Pombe Joseph MagufuliSawa mnyonge wa jpm...sasa hv hatutak wanyonge kutuchuria tu .ukijiona bado unaPenda kuitwa mnyonge bora mhamie CHATOOOOOO👹👺👻✌✌
Na kuna wengine hawana dini pia, au hawaamini kabisa uwepo wa Mungu.
Kafri ni mtu wa namna GANI???SIAFIKI HIYO SALAMU. Lazima appreciate Imani mbalimbali za watZ na hiyo inamleta karibu zaidi na Watanzania. kama makafiri na wenye imani za asili wamemwambia anapendelea basi ni dhahiri hajitambui.
Kwanini watanzania tusalimiane kwa lugha za kiarabu au kiyahudi ktk shughuli za kitaifa, kisiasa n.k.?
Heheheehw...mbombo jilipo...kila la heriChato ni Tanzania na nitahamia kumuenzi Dr John Pombe Joseph Magufuli
Dikiteta magufuli haya aliyoongea wala alikuwa hayaishi walau hata kwa asilimia 10. Ni kweli tutamkumbuka si kwa mazuri yake tu Bali hata kwa mabaya yake pia.
Na kuna wengine hawana dini pia, au hawaamini kabisa uwepo wa Mungu.