Salamu ya Rais Samia Suluhu 'Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano' ni salamu bomba sana

Salamu ya Rais Samia Suluhu 'Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano' ni salamu bomba sana

Nikikusoma vizuri mleta mada kwangu naona hata huyo unayemsifia kwa kurekebisha naona nae hakurekebisha chochote, kwani kusema "nawasalimu kwa jina la muungano" ndio salamu ya hilo kundi kubwa unalosema halikusalimiwa mwanzo?

Nae naona amekwepa kutoa salamu stahiki kwa hilo kundi jingine kama ambavyo unamlaumu huyo wa kwanza kutokutoa salamu, alitakiwa kuwa straight kutoa salamu stahiki, sio kuleta salamu mpya ya kijanja.
 
Unafahamu maana ya udini au unaongea mambo usiyoyafahamu

Je Adam na Hawa wapo mbinguni au motoni?

Adam na Hawa ndio watu wa kwanza na walifanya makosa

Unajua wapo wapi Mbinguni au Motoni?

Usiongee mambo usiyoyajua kuhusu udini

Rudi shule kasome sana maana ya hizi Dini

Zilikuwepo dini kabla ya uislamu na ukristo

uislam na ukristo ni Dini za karibu tu
Bora hata wakiristo kidogo wako rational kidogo.

Hizi dini zimekuja kupumbaza watu, watu wajinga wamekua wapumbavu na wapumbavu wamekua mataahira kabisa.
 
Wanabodi siku ya uapisho wa Katibu Mkuu Kiongozi ndugu katanga kuna jambo lilitokea, Bwana katanga alisalimu Raia kwa lugha moja tu ya dini ya kiislamu yaani Salaam Allahkum na akaendelea na hotuba yake,

Ikumbukwe pale kuna makundi mengi

Mama Samia aligundua kundi kubwa halijaridhika na ile Salamu Yeye akasalimia kwa Salamu mpya yaani"Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni maoni yangu tu bora kama mtu anaona kusalimia kwa lugha za dini ni kero basi atumie" Habari zenu wananchi"

Wanasiasa wanasalimia kwa lugha zote ili kuleta umoja, Sasa ukisalimia kwa imani yako tu hii itagusa watu fulani tu

Nakupongeza sana Mama Samia kwa kuliona hilo na kulirekebisha pale pale kuna ujumbe umetuma kwa huyo msaidizi wako
Kwani unajua maana ya salamu aliyoitoa katanga ni nini????

Kwa akili zenu mfu mnadhani salamu ya Katanga ni ya kidini??? Kweli hili taifa bado sana na ndo mana Mwendazake aliweza kuwa brainwash.

Salamu aliyotoa katanga simply means Amani iwe nawe, ni sawa na myahudi akikwambia Shalom. Zote zinamaanisha Amani iwe nawe.

kuna clip Jenerali ulimwengu amelielezea Hilo itafute uelimike mataga wewe!
 
Serikali ya JMT haina dini. Salamu katika shughuli za kiserikali zaweza kuwa;

1. Tanzania Hoyee!!!
2. Jambo Wananchi!!
3. Tanzania Juu!!!
4............,..

Hizi salamu za kidini kwenye mikutano ya kiserikali na vyama vya siasa zilianza kutumiwa kwa sababu ya ujinga tu.
 
Nikikusoma vizuri mleta mada kwangu naona hata huyo unayemsifia kwa kurekebisha naona nae hakurekebisha chochote, kwani kusema "nawasalimu kwa jina la muungano" ndio salamu ya hilo kundi kubwa unalosema halikusalimiwa mwanzo?

Nae naona amekwepa kutoa salamu stahiki kwa hilo kundi jingine kama ambavyo unamlaumu huyo wa kwanza kutokutoa salamu, alitakiwa kuwa straight kutoa salamu stahiki, sio kuleta salamu mpya ya kijanja.
Kwani salamu ya huyo wa kwanza ni ya kidini??? Acheni upuuzi. Tafuteni maana Hilo neno
 
Wanabodi siku ya uapisho wa Katibu Mkuu Kiongozi ndugu katanga kuna jambo lilitokea, Bwana katanga alisalimu Raia kwa lugha moja tu ya dini ya kiislamu yaani Salaam Allahkum na akaendelea na hotuba yake,

Ikumbukwe pale kuna makundi mengi

Mama Samia aligundua kundi kubwa halijaridhika na ile Salamu Yeye akasalimia kwa Salamu mpya yaani"Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni maoni yangu tu bora kama mtu anaona kusalimia kwa lugha za dini ni kero basi atumie" Habari zenu wananchi"

Wanasiasa wanasalimia kwa lugha zote ili kuleta umoja, Sasa ukisalimia kwa imani yako tu hii itagusa watu fulani tu

Nakupongeza sana Mama Samia kwa kuliona hilo na kulirekebisha pale pale kuna ujumbe umetuma kwa huyo msaidizi wako
Nani alikwambia Salaam Allahkum ni salaam ya kiislam?
 
Udini utarudi kwa kasi ya 4G .taarabu kupigwa ikulu nk
Udini gani??? Hivi Unajua maana ya salamu aliyotoa Katanga ni nini???

Kwa akili yako wewe ulivyoaminishwa kuwa ni salamu ya kidini basi unataka hata sie tunaojielewa tuione kuwa ni ya kidini wakati sio??? Acheni ujinga wenu

Salaam Allahkum Kama inavyotamkwa simply inamaanisha amani iwe nawe.
 
Hii Nchi ngumu sana, kuna tuvitu vidogo vidogo vinaweza kuleta mjadala hata ukawa wa Kitaifa, wakati kuna issue za kuumiza kichwa kiasi kwamba unatamani kila mmoja ashiriki ili kama Nchi tusimame imara kiuchumi, ila hongera Madam President kwa kubalance mambo, maana kwa salamu hiyo hata wasio na dini umewagusa.
 
Udini utarudi kwa kasi ya 4G .taarabu kupigwa ikulu nk

Mmeshaanza sasa,kipind mwendazake yupo pamoja,hamkusikia waislam wakilalamika kuhusu suala hili la udini pamoja na mambo yote ambayo yamekuwa yanafanyika,leo huyu mama kaapa na kuanza kuongoza mmeshaanza kumtazama kwa jicho la udini,nyinyi jamaa mkoje?

After all huyu mama kwan ndiye amesababisha kifo Cha mwendazake Ili yeye arithi hiyo nafas?achen uchawi hiyo ni Mipango ya mungu,kama imekuchoma Sana mwambie Gwajima Amfufue basi,si anafufua wafu yule??
 
Hiyo ni sakaam ya kiislam acheni ubishi japo ina maana nzuri.huwezi kuitumia kanisani.ni sawa na kusena bwana asifiwe msikitini utakuwa wa ajabu.kwenye nchi ya dini kama hizi tuachane na hizo salaam za kidini au tutumie zote
 
Wanabodi siku ya uapisho wa Katibu Mkuu Kiongozi ndugu katanga kuna jambo lilitokea, Bwana katanga alisalimu Raia kwa lugha moja tu ya dini ya kiislamu yaani Salaam Allahkum na akaendelea na hotuba yake,

Ikumbukwe pale kuna makundi mengi

Mama Samia aligundua kundi kubwa halijaridhika na ile Salamu Yeye akasalimia kwa Salamu mpya yaani"Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni maoni yangu tu bora kama mtu anaona kusalimia kwa lugha za dini ni kero basi atumie" Habari zenu wananchi"

Wanasiasa wanasalimia kwa lugha zote ili kuleta umoja, Sasa ukisalimia kwa imani yako tu hii itagusa watu fulani tu

Nakupongeza sana Mama Samia kwa kuliona hilo na kulirekebisha pale pale kuna ujumbe umetuma kwa huyo msaidizi wako
Asalam Alaykum sio salam ya waislamu.

Ni kasumba tu iliyojengeka ila hiko ni kiarabu .
Jamii yetu imelala
 
Nikikusoma vizuri mleta mada kwangu naona hata huyo unayemsifia kwa kurekebisha naona nae hakurekebisha chochote, kwani kusema "nawasalimu kwa jina la muungano" ndio salamu ya hilo kundi kubwa unalosema halikusalimiwa mwanzo?

Nae naona amekwepa kutoa salamu stahiki kwa hilo kundi jingine kama ambavyo unamlaumu huyo wa kwanza kutokutoa salamu, alitakiwa kuwa straight kutoa salamu stahiki, sio kuleta salamu mpya ya kijanja.
Mama yetu ameanza vibaya. Namfuatilia sana. Kabeba sana Uislam na Uzanzibar. Sijui kama tutafika.
 
Kweli wajinga wengi sana na kamwe hawawezi kuisha yaani bado anajua As-salamu alaykum ni kiislam hahaaa.

As-salamu alaykum is a greeting in Arabic that means "Peace be upon you"
Nakwambia kwa Kweli. Wajinga nchi hii wako wengi sana . Hawajui hata hao waarabu wapo wakristo, waislamu na hata wasio dini na wote wakisalimiana wanatumia salamu iyoiyo.

😀😀😀
 
Back
Top Bottom