Rais wetu toka akiwa Makamu wa Rais alipenda, kusalimia salaam alykum! Alikuwa hataji salamu zingine, nadhani kuna uzi humu uli hoji! Sasa kaona aje kivingine. Ila mie nasema. Kusalimiwa kwa Jamhuri ya Muungano wala haiji. Sasa tunaitikia vipi! Heri enzi za mkapa yeye alitumia Mambo!
Mara huyu Rais wetu atoe salamu ya vidole vitatu na kitobo! Nilijiuliza hii alama ya nini tena? Rasi awe makini. Asilazimishe baadhi ya salamu utadhani tuko kwenye washa au Makongamano. Huko ndo uwa kuna kila salamu na alama kadha wa kadha. Taifa letu linatambua Mungu yupo, hata Bunge uanza kwa maombi. Akijifanya ati hana time, nakwambieni, kuna jambo litatokea.
Amerika, kila kitu wanaanza na Mungu, nchi za Arabuni pia zinaanza na Mungu.
Zile salamu zilituweka pamoja, zilitufanya tujue Mungu yu nasi. Mhe. Rais tafakali sana kabla ujapokea ushauri.