Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
WAZIRI MKUU WA UINGEREZA
Boris Johnson ameandika kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter kusikitishwa na taarifa za kifo cha Dkt. John Magufuli
RAIS WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA
Dkt. Akinwumi "Akin" Adesina ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais Magufuli kupitia ukurasa wake wa #Twitter
Amtaja kama rafiki na Kaka yake mpendwa
MWANAMUZIKI JOSE CHAMELEON
Mwanamuziki nguli kutoka nchini Uganda, Jose Chameleon amemtaja Rais Magufuli kama mwanamapinduzi wa kweli wa maendeleo ya Afrika
UBALOZI WA CHINA NCHINI
Salamu za rambirambi zimetolewa kupitia #Twitter na Ofisi ya Ubalozi wa Nchi ya China nchini
Ubalozi huo umeeleza kuwa jitihada za #Magufuli katika kukuza mahusiano baina ya China na Tanzania zitakumbukwa
Boris Johnson ameandika kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter kusikitishwa na taarifa za kifo cha Dkt. John Magufuli
RAIS WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA
Dkt. Akinwumi "Akin" Adesina ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais Magufuli kupitia ukurasa wake wa #Twitter
Amtaja kama rafiki na Kaka yake mpendwa
MWANAMUZIKI JOSE CHAMELEON
Mwanamuziki nguli kutoka nchini Uganda, Jose Chameleon amemtaja Rais Magufuli kama mwanamapinduzi wa kweli wa maendeleo ya Afrika
UBALOZI WA CHINA NCHINI
Salamu za rambirambi zimetolewa kupitia #Twitter na Ofisi ya Ubalozi wa Nchi ya China nchini
Ubalozi huo umeeleza kuwa jitihada za #Magufuli katika kukuza mahusiano baina ya China na Tanzania zitakumbukwa