Salamu za rambirambi kutoka kwa viongozi, ofisi na watu mashuhuri Kufuatia kifo cha Rais Magufuli

Salamu za rambirambi kutoka kwa viongozi, ofisi na watu mashuhuri Kufuatia kifo cha Rais Magufuli

Ukiachilia mbali rekodi yake kwenye masuala ya utawala bora na haki za binadamu, Magufuli alipigania sana kumuinua mtanzania wa kawaida, ali-focus sana akili yake hapo mpaka akasahau mambo mengine ya demokrasia.
SEMA baadhi ya watanzania wanyonge sio wote hasa wa upande ule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiachilia mbali rekodi yake kwenye masuala ya utawala bora na haki za binadamu, Magufuli alipigania sana kumuinua mtanzania wa kawaida, ali-focus sana akili yake hapo mpaka akasahau mambo mengine ya demokrasia.
Ali declare hadharani kuwa kuna waliokuwa wanaishi kama malaika, katika utawala wake wataishi kama mashetani. Hili alilisema hadharani..
.mwafaaa iiiiih.
 
Na mimi nimetoa salamu za rambirambi lakini sijaonyeshwa hapo
 
Tanzania President John Magufuli died on Wednesday, 17th March 2021 from heart complications at a hospital in Dar es Salaam, Samia Suluhu Hassan said in an address on state television.

Mr Magufuli had not been seen in public for more than two weeks, and rumours had been circulating about his health.

 
Raia wa DRC wamlilia Hayati Magufuli, Baadhi yao wamefanya maandamano ya amani wakimsifia mwanamapinduzi huyo.

Baadhi yao walipokuwa wakihojiwa jana kupitia ITV Tanzania wamesema kuwa Magufuli ndie kiongozi bora kuwahi kutokea katika bara la Afrika baada ya waasisi wa bara kama kina JK Nyerere, Nkurumah, na wanamapinduzi waliokubali kufa kwa ajili ya nchi zao.

Baadhi ya raia wa Ghana, wamesema hawaamini kama kifo cha shujaa huyu ni cha asili....kuna hujuma zimetendeka sio bure.

Chanzo: ITV HABARI TRH 24/3/2021
Official Instagram account ya . Ghana24News.

IMG-20210325-WA0003.jpg
 
Sawa yote heri kwani hakuna binadamu anaechukiwa na watu wote wale anaependwa na watu wote,lakini sisi watanzania ndio tunamjua Magufuli zaidi kuliko raia yoyote wa Sayari hii kwa mazuri au mabaya yake.
 
Nawambieni msiposema kwamba JPM ni shujaa na mwamba wa Afrika hakika madaraja na maflaiova yatasema na barabara zitalalamika kwa kusagasaga tairi za magari yenu kila mtakapo funga breki na kuwakumbusheni.


Screenshot_20210325_234352.jpg


Screenshot_20210326_014226.jpg
 
sio shujaa wala mwamba wa Afrika, labda tumwite mtoto wa Afrika au mtoto wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom