🤣🤣🤣🤣Mwishoni umeniachia hoiSalamu zangu ziwaendee Mshana Jr Beesmom Mad Max Antonia mawardat na kaka UMUGHAKA bila kuwasahau hawa GENTAMYCINE kubwa la maadui na mdogo wangu mpwayungu village
Ila pia ziwafikie wote wanaohitaji wapenzi hapa jamvini ila tukiwafuata PM maswali mengi kama interview za Benki kuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawakumbusha tu ili wajue bado tunawahitaji japo umri umesonga sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwishoni umeniachia hoi
Ee bhana...Mapenz hayana umriNawakumbusha tu ili wajue bado tunawahitaji japo umri umesonga sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitampata tu humu na siku nikimpata hapa jukwaani yaani anivumilie tu maana ataoneshwa mpaka sura na sifa zoteEe bhana...Mapenz hayana umri
😳🤣Unataka ufanye tukio gani tenaNitampata tu humu na siku nikimpata hapa jukwaani yaani anivumilie tu maana ataoneshwa mpaka sura na sifa zote
Mpaka waliosingle kwa hiko kipindi wataniona sio ndugu yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe subiri tu siku hiyo jifanye hunijui tu hapa jamvini maana wasijesema ndugu yake ni Beesmom[emoji15][emoji1787]Unataka ufanye tukio gani tena
Jamanipopote ulipo dear x gari likugonge tu uvunjike miguu
SaWaYaani wewe subiri tu siku hiyo jifanye hunijui tu hapa jamvini maana wasijesema ndugu yake ni Beesmom
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo Zenyu.
Mimi salamu zangu ziwaendee watu wote wa JF ambao wanajitambua.
Je, salamu zako alasiri ziende kwa nani?
Zimuendee magufuli
Pumzika kwa aman mzee
😆😆😆😆😆jamanSalamu zangu ziwaendee Mshana Jr Beesmom Mad Max Antonia mawardat na kaka UMUGHAKA bila kuwasahau hawa GENTAMYCINE kubwa la maadui na mdogo wangu mpwayungu village
Ila pia ziwafikie wote wanaohitaji wapenzi hapa jamvini ila tukiwafuata PM maswali mengi kama interview za Benki kuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa sio alasiri ni usiku sasa.
Ziwaendee..
Shimba ya Buyenze(yo douta missed yu aloti)
Watu8( i griti you anko dereva )
Mshana Jr (ujumbe ankal …kipindi hiki nikija mjini nitakufuata popote utakapokuwa hata kama ni Mogadishu nitaibuka😃)
One love ankal [emoji173] Nakusuburi kwa hamuIngawa sio alasiri ni usiku sasa.
Ziwaendee..
Shimba ya Buyenze(yo douta missed yu aloti)
Watu8( i griti you anko dereva )
Mshana Jr (ujumbe ankal …kipindi hiki nikija mjini nitakufuata popote utakapokuwa hata kama ni Mogadishu nitaibuka[emoji2])
Salamu zimefika aunt abiria...
Ingekuwa zile enzi zetu za R.T.D ningemuomba Malima Nderema asindikize salamu hizi za kibao matata cha "Rangi ya Chungwa" toka Tabora Jazz Band
Mm zimwendee mke wa Masanja tuuZiwaendee Mtumishi Masanja na mkewe
Ubaguzi huo!Mm zimwendee mke wa Masanja tuu