Natamani aniwekee mkono wa maombi kichwaniUbaguzi huo!
Je,ukijiua?πNatamani aniwekee mkono wa maombi kichwani
Yeeeβ¦..ππππSalamu zimefika aunt abiria...
Ingekuwa zile enzi zetu za R.T.D ningemuomba Malima Nderema asindikize salamu hizi za kibao matata cha "Rangi ya Chungwa" toka Tabora Jazz Band
One love Ankal β€οΈππππOne love ankal [emoji173] Nakusuburi kwa hamu
Yeeeβ¦..ππππ
Hata enzi hizi unaweza kukiomba hicho kibao kikanifikia hapa nilipo anko dereva ingawa rangi ninayoiona hapa kwa sasa ni ya chokoleteππ
Hujambo lakini anko dereva??
Chocolate is the new whatπ€£π€£π€£nimecheka kwakweli..Ooh yeah, chocolate is the new orange....
Ni mzima wa afya hofu kwako aunt abiria popote pale ulipo...
Chocolate is the new whatπ€£π€£π€£nimecheka kwakweli..
Nashukuru kama Uko buheri wa afya..ππ
Popote huku nilipo niko salama sana na Mungu wetu ni mwema ππ
π€π€π€
Dear XMambo Zenyu.
Mimi salamu zangu ziwaendee watu wote wa JF ambao wanajitambua.
Je, salamu zako alasiri ziende kwa nani?
Wenye shari hatujapokeaaaKila mwenye kheri na mwenye shari...
Bila kumsahau ERoniMambo Zenyu.
Mimi salamu zangu ziwaendee watu wote wa JF ambao wanajitambua.
Je, salamu zako alasiri ziende kwa nani?
Usikaege kimya sana. Uko poa ?ππππ nimekuja lakini saa 2 ya asubuhi
Karibu unidunde cha utundu... Njoo unipe stress...Wenye shari hatujapokeaaa
Leo unaumwa,, nikikustress si itakuwa mbaya πKaribu unidunde cha utundu... Njoo unipe stress...