[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122][emoji122]Watanzania wapumbavu sana, sasa mpo bize kujadili salary slip ya mtu wakati nyie hamkopesheki hata dukani kwa mangi kwasabab hamna kazi au ni kibarua. Mwenzenu ametimiza malengo yake ila nyie mnataka kutuaminisha amefeli... Na hapo baada ya miaka 3 anaweza kukopa tena... Maisha ni kuchagua... Nilichogundua wanao comment negatively ni watu ambao wana stress za maisha, wameStuck hawawez kwenda mbele na umri unakimbia... Guys mtakufa masikini mkiendelea kujadili maisha ya watu.
Hata mimi nimeikubali!Mwamba ni nyanaume
Tunaomba elimu ya straight balance na reducing balanceKama nimeelewa vizuri, hiyo mil.42 inahusisha principal na interest. Kwa hiyo inawezekana alikopa mil.25. Halafu inawezekana anakatwa kwa mfumo wa straight balance, ambao unaumiza zaidi. Tunapokopa tuulizie na mfumo wa marejesho. Mfumo rafiki wa marejesho ni reducing balance.
Sawa mkuu, mie sifahamu vizuri hayo madaraja yao yanavyokuwa. Mie uchunguzi wangu ulijikita kwenye muda wake wa kustaafu (mwaka 2041) kama unavyoonesha kwenye salary slip. Ambapo kwa sasa inaonesha ana umri wa miaka kam 41 hivi.Huyo hana miaka zaidi ya kumi kazini ila ni mwanaume salary slip siyo chafu
To put things straight- NMB wanatumia Reducing balance method.Kama nimeelewa vizuri, hiyo mil.42 inahusisha principal na interest. Kwa hiyo inawezekana alikopa mil.25. Halafu inawezekana anakatwa kwa mfumo wa straight balance, ambao unaumiza zaidi. Tunapokopa tuulizie na mfumo wa marejesho. Mfumo rafiki wa marejesho ni reducing balance.
Mkuu, ahsante kwa maarifa haya. Je, wewe umewahi kukopa ukiwa mwajiriwa kwa ajili ya biashara na ukafanikiwa kutimiza malengo yako? Itakuwa vizuri uki-share experience ili na siye wengine tujifunze jambo. Maana tulio wengi tupo gizani bado..
Ndiyo hivyo kazi za serikalini kukopa mkubwa, unaiba ukifukuzwa kazi unapakuanziaDooh kwa hali hii alafu unakuta tume inaundwa kuchunguza kwann upigaji serekalini umezidi. Huyu anaishi juu ya uwezo wake,,ili mambo yaende lazma akwibe huyu,,,trust me
Usinisahau mkuu. Tafadhali. Mie hapa JF ni kama chuo kikuu cha maisha. Vile vyuo vya kawaida naona nimeshasoma kwa kiasi chake. Sasa ni muda wa kuendeleza maarifa kutoka REAL LIFE/STREET UNIVERSITY. Elimu hii si rahisi kuipata kwingine ila hapa JF utaipata tena bure. Ndio maana mie huwa nashinda hapa.Ndiyo mkuu. You read my mind maana nilikua nampango wakuanzisha uzi kushare experience yangu, nikifanya hivyo nitakutag very soon.
Ukisema salary slip sio chafu una maanisha niniHuyo hana miaka zaidi ya kumi kazini ila ni mwanaume salary slip siyo chafu
Mi mwenyewe nimeshangaa Jf kuna watu waongo kweliWacha uongo wewe, 500k huwezi kupata mkopo wa 40m! Huyu mwenzio ana 940k ndiye kapata 42m wewe iweje?
-Kwa makato ya 15% ya Heslb maana yake salary yako ni 3,000,000+Usiogope mkopo
Fanya calcualation yako vizuri
Nilikopa 38 M mkopo wa miaka 5
Nikajenga gheto la kuanzia kwenye plot yangu
Ndani ya miezi miwili
Mshahara wangu take home ni 2.3 M
HESLB wana ramba 500K
Bank wana ramba 1M
Nabaki na kama 700K hv
Niliona kuona kuishi nyumba ya kupanga kutafanya akili iwe dormant
Pia nilisha apa kutoa na kuishi na mke wangu nyumba ya kupanga
Mishe mishe zangu kwa mwezi ni 7M - 15M
Maisha yanasonga
Huna ujuacho wewe ngumbalu. Nina TGS G unajua ni Ths ngapi?Wacha uongo wewe, 500k huwezi kupata mkopo wa 40m! Huyu mwenzio ana 940k ndiye kapata 42m wewe iweje?
Hujaelewa. Nina TGS G, Baada ya makataa ndio nina take home around 500K. Unaijua TGS G ni Tsh ngapi?Benk gani inakopesha 40M kwa mtu alie na take home chini ya 500k
Kwa nini zisiende mrama wakati hawazingatii kanuni za pesa kwenye biashara.Karibia 95% ya watumishi wanaokopa kwa ajili ya biashara mambo huenda mrama (Ndivyo sivyo). Take it from me, dude.!
Naimanisha salary slip moja Ina makatoUkisema salary slip sio chafu una maanisha nini
Kwa nini zisiende mrama wakati hawazingatii kanuni za pesa kwenye biashara.Karibia 95% ya watumishi wanaokopa kwa ajili ya biashara mambo huenda mrama (Ndivyo sivyo). Take it from me, dude.!
Sawa mkuu, mie sifahamu vizuri hayo madaraja yao yanavyokuwa. Mie uchunguzi wangu ulijikita kwenye muda wake wa kustaafu (mwaka 2041) kama unavyoonesha kwenye salary slip. Ambapo kwa sasa inaonesha ana umri wa miaka kam 41 hivi.
Endapo alichelewa kuingia kwenye ajira ya utumishi wa umma utakuwa sahihi na ukizingatia pia kigezo cha madaraja yanavyokuwa huko alikoajiriwa.
Ila endapo tutafuata kigezo cha mwaka wa kustaafu 2041, maana yake kwa sasa ana miaka kama 41 hivi. Na kwa makadirio, siyo lazima iwe kweli, endapo alimaliza bachelor na kuanza ajira, it means alianza kazi around 2006-2007. Hii pia ianweza kuwa kweli maana wakati huo ajira zilikuwa za uhakika hasa kwa walimu.hilo
Hilo deni ni la miaka Saba so let say 2029 deni linaisha na ikumbuke deni lake anaweza kaa miaka miwili akienda bank hakosi milion tano hapo kwa hayo makato so jamaa mkopo wake mzuri sana tena sanaSawa mkuu, mie sifahamu vizuri hayo madaraja yao yanavyokuwa. Mie uchunguzi wangu ulijikita kwenye muda wake wa kustaafu (mwaka 2041) kama unavyoonesha kwenye salary slip. Ambapo kwa sasa inaonesha ana umri wa miaka kam 41 hivi.
Endapo alichelewa kuingia kwenye ajira ya utumishi wa umma utakuwa sahihi na ukizingatia pia kigezo cha madaraja yanavyokuwa huko alikoajiriwa.
Ila endapo tutafuata kigezo cha mwaka wa kustaafu 2041, maana yake kwa sasa ana miaka kama 41 hivi. Na kwa makadirio, siyo lazima iwe kweli, endapo alimaliza bachelor na kuanza ajira, it means alianza kazi around 2006-2007. Hii pia ianweza kuwa kweli maana wakati huo ajira zilikuwa za uhakika hasa kwa walimu.
Ile hesabu ya darasani ya simple interest achana nayo bro. Hapa kwenye mabenki kuna charges na tozo kibao. Tena nyingi kama mchanga wa bahari. Nakuhakikishia maana mimi ni mkopaji mzuri wa benki zilizopo Tanzania. Na ninapofika Tawi la benki kukopa huwa namuona afisa mikopo nampiga maswali ananichambulia tozo na gharama za kuupata mkopo.Hapana! Ukipiga hesabu (kama unajua hesabu lakini) utakuta jamaa alichukua cash kama 37m maana interest rate ya mikopo ya watumishi ni kama 14% per annum! Kwa hiyo kama ana akili timamu atakuwa anafanya mambo makubwa tu sasa hivi!