Afadhali wajue huna hela waanze kukusema
Hili jamaa sijui likoje yaani TGS G iwe pungufu hata kwa yule wa TGS D? Siyo litumishi la umma hili!Hajui madaraja ya Utumishi wa Umma, TGS G ni zaidi ya 1.6M (Kama sikosei).
Ngoja tuone itakuwajeNa huwezi kuwa tajiri kamwe.
Falar m1 tu wwUjinga kamwambie mamako! Thibitisha huo ujinga wangu!
Got ur point.mzee hiyo 42m ni deni analotakiwa kulipa baada ya kupewa mkopo wake. kwa hiyo net loan aliyopewa inaweeza kua 20-25 m.
Ile idea ya kununua bonds ikupate uwe na nyumba tatu, moja unaishi na mbili zinakupa laki saba kila mwezi. Ukitoa matengenezo unaweza kuwa na laki tano. Hii pesa na bado uwe unapata interest ya bonds zako BOT na una pension ya kila mwezi. Unaweza kumudu bia mbili kila jioni.Exactly. Ndiyo strategy. Kila anayeomba anaambiwa sina hela mi mstaafu. Kuna video clip ya RC wa Dodoma Anthony Mtaka niliipenda sana.
Umbwa kama umbwa zingine!Falar m1 tu ww
Katika 42m za NMB cash alipata 30m. NMB Mungu anawaona.Hapo ndo kama ulichukua mkopo, ukajenga nyumba ikaishia kwenye renta sijui wenyewe mnaita😆😆😆, bado utakuwa umepanga na kwa makato hayo kujenga tena subiri miaka 7au mitano deni likipungua. Hapo shughuli ipo, ndo mtu anaanza kuichukia kazi
Inaonyesha ni mnywaji mwenzangu!Ile idea ya kununua bonds ikupate uwe na nyumba tatu, moja unaishi na mbili zinakupa laki saba kila mwezi. Ukitoa matengenezo unaweza kuwa na laki tano. Hii pesa na bado uwe unapata interest ya bonds zako BOT na una pension ya kila mwezi. Unaweza kumudu bia mbili kila jioni.
Sasa hizo gharama mkuu huwa haziwekwi kwenye mkopo! Hata mimi mkopaji mzuri tu na serikalini nilishakopa kwa kutumia mshahara. Raia wanapotosha wanaposema jamaa atakuwa aliambulia 20m.Ile hesabu ya darasani ya simple interest achana nayo bro. Hapa kwenye mabenki kuna charges na tozo kibao. Tena nyingi kama mchanga wa bahari. Nakuhakikishia maana mimi ni mkopaji mzuri wa benki zilizopo Tanzania. Na ninapofika Tawi la benki kukopa huwa namuona afisa mikopo nampiga maswali ananichambulia tozo na gharama za kuupata mkopo.
Tunazungumzia kilichomo kwenye slip..!! hayo ya nje ya slip ambayo mtoa mada hajayasema unataka niwe mfalme njozi na niane kuyasema? Tujadili mada kama ilivyoletwa..Mikopo inatesa vp kama kaenda kufanya biashara inayomlipa zaidi?
Asikudanganye mtu huwezi kutoboa bila mikopo hata matajiri wanadaiwa.
Siku ukijua how compound interest, return on investment (ROI) works utajua mikopo ni kitu kizuri tatizo ni wakopaji. Jiulize kwanini matajiri na taasisi kubwa zinakopa hata kama zina uwezo wa kulipa in cash?
Asante kwa wewe kulitumia neno INAWEZEKANA... ujuwe inawezekana pia mkopo haumzalishii chochote...Inawezekana huo mkopo unamzalishia zaidi ya mshahara
LAKI NNE INAKATWA TOKA KWENYE NET YA KABLA YA MKOPO KILA MWEZI UKABAKI NA LAKI TATU NA USHEE WEWE UNAONA NI JAMBO LA KUTOTESEKA?unajuaje sasa mkopo uliouona kwenye slip kama una mtesa? au unahisi?
Halafu ukute mkopo wenyewe kachukua Harrier new modelView attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Itakutesa kama hutaitendea haki. Huo mkopo wa nmb kama kanunua apartment tayari mwenzio anamiliki nyumba. Wewe unae ogopa mikopo utaweka kwenye kibubu na kila mwezi unakivunja.Rekebisha net uliyoiandika wewe..
Nilichojifunza
Mikopo inatesa
Kwa mtaji wa kiasi gani?Nimeangalia hyo slip mara mbili mbili, nimeona nianzishe tena biashara yangu ya uwakala, ilikuwa inanipa 400k kwa mwezi...nikaona ndogo, sasa kumbe kuna watu wanapata 300k kwa mwezi na ni wafanyakazi...narudisha biashara yangu
Hpo aliambulia sana sana 25M, ila na makato mengine 23m cash aliondoka nayo. Usichezee riba ya 16/17. Hiyo Ndo factsSasa hizo gharama mkuu huwa haziwekwi kwenye mkopo! Hata mimi mkopaji mzuri tu na serikalini nilishakopa kwa kutumia mshahara. Raia wanapotosha wanaposema jamaa atakuwa aliambulia 20m.