Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Kwa miaka 7 amekopa 10 to 15 mil
 
hiyo salary sleep kama yangu tu , ila sijutii mzee hata ungesema niwalipe bank den lao nawalipa , mkopo niliochukua ulibadili kila kitu kwenye maisha yangu
 
Mkopo mtamu siku umeingizwa, ipite miezi kadhaaa , mtu anaanza sikilizia maumivu
Nilikopa ila sijawahi kujuta.Nilikopa nikaanzisha project ambayo ilikuwa inaniingizia kipato ambacho kilikuwa zaidi ya kile nilichokuwa nakatwa japo ile project ilikuwa ya muda.Kile kipato plus kamshahara kalikobaki kila mwezi nikatumia kupata pesa ya Kula na kuanzisha project nyingine ya kudumu.Nilimuomba Mungu hiyo project ya Kwanza itakapokoma niwe nimemaliza kuwekeza kwenye project mpya hivyo nipate kipato Cha ziada kupitia project hii.Kweli Mungu amejibu,project ya Kwanza imekoma wakati namalizia project hii ya kudumu na mkopo bank nimemaliza kulipa.Ni furaha iliyoje kamshahara kangu kanaingia kote na chimbo linatema.We acha tu mkopo Ni mzuri Kama ukiwa na malengo.
 
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ondoa hiyo NMB loan ijimlishe kwenye pesa anazochukua benki(takehome), sababu alikopa au alichukua sehemu ya mshahara wake kabla ya mwisho wa mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…