Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Mkopo ukiutumia vizuri HAUWEZI KUTESA.Rekebisha net uliyoiandika wewe..
Nilichojifunza
Mikopo inatesa
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkopo ukiutumia vizuri HAUWEZI KUTESA.Rekebisha net uliyoiandika wewe..
Nilichojifunza
Mikopo inatesa
Hapo si ajabu alikopa 10 mil then anailipa 7yrsView attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Kwa miaka 7 amekopa 10 to 15 milKwa haraka haraka huyo ni mwalimu wa daraja E1. Na anaonekana alishamaliza deni la bodi ya mikopo au hakupata kabisa kusomeshwa kwa udhamini wa HESLB kwa hiyo kaenda kajitungua milioni kama 25+ . Yeye ndo anajua kama amekamilisha malengo au bado.
Tukope kwa sababu maalum.
Tukope tukiwa tumeshafanya upembuzi kamili kwa miradi au mradi tunayoifanya
No wayDaah Mil 42.
-Chukua Mil 25 peleka UTT utapata zaidi au sawa na ayo makato ya kila mwezi 415k
Huku shida zimekung'ang'ania makalioniDaah Mil 42.
-Chukua Mil 25 peleka UTT utapata zaidi au sawa na ayo makato ya kila mwezi 415k
Kimahesabu mkopo aliopata ni million 20 hadi 24hapo utakuta aliyopewa ni 20 tu 😁
Mkopo mtamu siku umeingizwa, ipite miezi kadhaaa , mtu anaanza sikilizia maumivuMikopo Ni mizuri.
Nilikopa ila sijawahi kujuta.Nilikopa nikaanzisha project ambayo ilikuwa inaniingizia kipato ambacho kilikuwa zaidi ya kile nilichokuwa nakatwa japo ile project ilikuwa ya muda.Kile kipato plus kamshahara kalikobaki kila mwezi nikatumia kupata pesa ya Kula na kuanzisha project nyingine ya kudumu.Nilimuomba Mungu hiyo project ya Kwanza itakapokoma niwe nimemaliza kuwekeza kwenye project mpya hivyo nipate kipato Cha ziada kupitia project hii.Kweli Mungu amejibu,project ya Kwanza imekoma wakati namalizia project hii ya kudumu na mkopo bank nimemaliza kulipa.Ni furaha iliyoje kamshahara kangu kanaingia kote na chimbo linatema.We acha tu mkopo Ni mzuri Kama ukiwa na malengo.Mkopo mtamu siku umeingizwa, ipite miezi kadhaaa , mtu anaanza sikilizia maumivu
🤣🤣🤣😂😂🤣🤣😂😂E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
Bahati mbaya, kila mmoja ana 'vizuri' yake..!! Na ndiyo maana kuiga 'vizuri' ya mwenzio unaweza ukafeliMkopo ukiutumia vizuri HAUWEZI KUTESA.
#YNWA
Ni siku gani shida ziliwahi kukauka katika maisha ya binadamu?Huku shida zimekung'ang'ania makalioni
Chama cha kuuwa walimu hapa tanzaniaCHAKUWAHATA ndio nini?
Ondoa hiyo NMB loan ijimlishe kwenye pesa anazochukua benki(takehome), sababu alikopa au alichukua sehemu ya mshahara wake kabla ya mwisho wa mwezi.View attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Duu🤣🤣🤣😂😂🤣🤣😂😂