Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Then u'll die poor!!Sitakaa nije kukopa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then u'll die poor!!Sitakaa nije kukopa
unajuaje sasa mkopo uliouona kwenye slip kama una mtesa? au unahisi?Tunazungumzia kilichomo kwemye slip.. Hayo ya nje ya slip mtoa mada hajayaweka..
Kukopa sio shida. Shida unaitumiaje hela baada ya kukopa?Sitakaa nije kukopa
Kama annual increaments na madaraja vingekuwa vinapanda kwa wakati asingeona maumivu ya mkopoNilichojifunza:
1. Kama ametumia huo mkopo kujengea nyumba, anailipia Kodi ya 451K na baada ya miaka michache nyumba itakuwa yake.
2. Kama amewekeza kwenye biashara yenye faida zaidi ya 451K kwa mwezi, mapato yake hayajaathirika na baada ya miaka michache atakuwa anajilipa nusu ya mshahara wa serikali.
3. Kama amewekeza kwenye starehe mkopo unamtesa.
Daah usinipe moyo kiongozi ile hela kama ina laana hivi amini kwambaKukopa sio shida. Shida unaitumiaje hela baada ya kukopa?
Motivational speakers bana.Dah, kwa kada zetu hizi tofauti na Ewura, BOT, NSSF,PSSSF,BANDARINI,SIASA tena ukiwa super senior emploee/worker kuajiriwa ni utumwa na kujitafutia stress na kifo.
Take home 314k wakati dalali hiyo anapata kwa nusu saa tena kwa kumtembeza mnunuzi au kutangaza biashara ya bosi
I'll take my chances anyway.Then u'll die poor!!
Nia njema tu weka salary slip yako ya March au April tuone kama haiko chini ya huyo msela wa TGTS E1Motivational speakers bana.
Inategemea unalinganisha na nini. Kwa kulinganisha na huyo mwamba wa TGTS E1 anayeambulia 314 elfu,udalali unalipa.So udalali unalipa sana
hapo utakuta aliyopewa ni 20 tu 😁Mnhh...🤣🤣🤣🤣
Milioni 42!!!?!!
Aisee fogo hata hio salary slip Sina,najua nyie mafogo wa udalali mnaingiza mpk mil. 15 kila mwezi aisee.Nia njema tu weka salary slip yako ya March au April tuone kama haiko chini ya huyo msela wa TGTS E1
mzigo mzito kuliko uwezo wa kuubeba.Nashauri mshahara wa mbunge upunguzwe waongeze watumishi wa chini kama hawa.View attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Loan+interest=42,800,000Kwa 940,000/= unawezaje kupata mkopo wa 42,800,000/=? na ile ⅓ ya nachotakiwa kibaki kwenye mshahara wako kimezingatiwa hapa?..
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
mzee hiyo 42m ni deni analotakiwa kulipa baada ya kupewa mkopo wake. kwa hiyo net loan aliyopewa inaweeza kua 20-25 m.Daah Mil 42.
-Chukua Mil 25 peleka UTT utapata zaidi au sawa na ayo makato ya kila mwezi 415k
-Chukua Mil 10 peleka kwenye biashara kama ipo tayari
-Chukua 5 rekebisha nyumbani
-Izo 2 chagua mwenyewe utaipeleka wapi
Wabunge vwako wachache ndo maana mishahara yao minono ni himilivumzigo mzito kuliko uwezo wa kuubeba.Nashauri mshahara wa mbunge upunguzwe waongeze watumishi wa chini kama hawa.
Ukiona hela yako ni ya kuunga unga unatakiwa ufanye hiviHapo ndo kama ulichukua mkopo, ukajenga nyumba ikaishia kwenye renta sijui wenyewe mnaita😆😆😆, bado utakuwa umepanga na kwa makato hayo kujenga tena subiri miaka 7au mitano deni likipungua. Hapo shughuli ipo, ndo mtu anaanza kuichukia kazi