Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Ukiona hela yako ni ya kuunga unga unatakiwa ufanye hivi
Jenga kijumba kidogo cha kukustri nyuma kwenye kiwanja. Mungu akikujalia ukilipwa mafao ndiyo unajenga nyumba ya mbele na wajukuu wanapata vyumba vyao wakija kusalimia.

Wengine wana bahati wakiwa kwenye vibanda vya uwani mble watoto wao wanamalizia. Si watoto wote wana msaada wengine utawalea mpaka unaingia kaburini.
Besti ushauri kuntu
 
View attachment 2200989

Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake

Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Inawezekana hata huo mshahara haugusi,biashara zinalipa sana nawaza labda ana bajaj zake mbili kila moja inaleta hesabu ya 20k so anapiga 40k daily,anaduka amelitega sehemu yenye mzunguko mzuri,mnawaza only one side kwamba anateseka na laki3 lakini inawezekana anaenjoy sana maisha baada ya huo mkopo.Kingine Huyu ni muajiriwa mzoefu tayari anajua anachofanya
 
Huyu alichukua mkopo 50mil kwahyo sidhani kama anateseka. Mkopo ulikua mtam sana kama alikua na medula oblangata
Hata kama alinunua viwanja viwili kwa milioni 10 kila kimoja. Anaweza kuwa na wapangaji wa kumpa laki tatu kila mwezi na nyingine anakaa japo ni kibanda cha kujistir.
 
Hapo ndo kama ulichukua mkopo, ukajenga nyumba ikaishia kwenye renta sijui wenyewe mnaita[emoji38][emoji38][emoji38], bado utakuwa umepanga na kwa makato hayo kujenga tena subiri miaka 7au mitano deni likipungua. Hapo shughuli ipo, ndo mtu anaanza kuichukia kazi
 
Nimeangalia hyo slip mara mbili mbili, nimeona nianzishe tena biashara yangu ya uwakala, ilikuwa inanipa 400k kwa mwezi...nikaona ndogo, sasa kumbe kuna watu wanapata 300k kwa mwezi na ni wafanyakazi...narudisha biashara yangu
 
Kwa haraka haraka huyo ni mwalimu wa daraja E1. Na anaonekana alishamaliza deni la bodi ya mikopo au hakupata kabisa kusomeshwa kwa udhamini wa HESLB kwa hiyo kaenda kajitungua milioni kama 25+ . Yeye ndo anajua kama amekamilisha malengo au bado.
Tukope kwa sababu maalum.
Tukope tukiwa tumeshafanya upembuzi kamili kwa miradi au mradi tunayoifanya
Kwa tafsiri nyingine ni kuwa, deni la bodi alikuwa amelipunguza kwa muda kidogo, kisha akawa ameliuza kwa NMB. Hao NMB wakampa mkopo mwingine ndio huo anapambana nao.
 
Inawezekana hata huo mshahara haugusi,biashara zinalipa sana nawaza labda ana bajaj zake mbili kila moja inaleta hesabu ya 20k so anapiga 40k daily,anaduka amelitega sehemu yenye mzunguko mzuri,mnawaza only one side kwamba anateseka na laki3 lakini inawezekana anaenjoy sana maisha baada ya huo mkopo.Kingine Huyu ni muajiriwa mzoefu tayari anajua anachofanya
Unajifunza nini kutoka kwa mdau.

thats a key point here.
 
Kwa haraka haraka huyo ni mwalimu wa daraja E1. Na anaonekana alishamaliza deni la bodi ya mikopo au hakupata kabisa kusomeshwa kwa udhamini wa HESLB kwa hiyo kaenda kajitungua milioni kama 25+ . Yeye ndo anajua kama amekamilisha malengo au bado.
Tukope kwa sababu maalum.
Tukope tukiwa tumeshafanya upembuzi kamili kwa miradi au mradi tunayoifanya
Du! 25+ ndio riba inafika 42+? kutoka ni kwa mbinde sana
 
Unaweza kuta salary slip inasoma hvyo lakin vichechi chechi vinavyopatikana kazini ukivijumlisha kwa mwez mzima vinafika hata laki 6,kwahyo unakuta jamaa yupo njema tu
Ni kweli, ila kutegemea maisha ya hivyo vichenchi chenchi kisha vikakosa utapata pressure. Unakuwa unaishi maisha yasiyo na uhakika wa kesho yako itakuwaje. Mapato pekee yaliyo ya uhakika ni mshahara wako.
 
Kimsingi kama kawaida ya JF, mtoa Post alileta hoi post kwa lengo la kuponda utumishi wa umma ila majibu ya wadau mazuri na yanamvunja moyo. Yeye alitaka tuishambulie hiyo 300k anayoipata.
Mimi nina chini ya 500K kwa mwezi kama mshahara wangu toka TGS G sikuwa na loan board na nilikopa zaidi ya 40M ambayo inanisaidia kwenye mzunguko wa zaidi ya 1.2M kwa mwezi toka kwenye Kilimo, ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, duka la Pembejeo na bodaboda za mkataba. Kumbuka nilishajenga na nipo kwangu hapo.
 
Nimeangalia hyo slip mara mbili mbili, nimeona nianzishe tena biashara yangu ya uwakala, ilikuwa inanipa 400k kwa mwezi...nikaona ndogo, sasa kumbe kuna watu wanapata 300k kwa mwezi na ni wafanyakazi...narudisha biashara yangu
Iyo biashara imekufa baada ya kupandisha tozo usijaribu kuweka pesa yako huko utaliwa
 
Back
Top Bottom